• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Mahenge aridhika na ujenzi, ashauri Jiji kuongeza maeneo ya kupumzikia

Imewekwa tarehe: August 31st, 2019

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dkt Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuongeza vituo vya mapumziko (recreational centers) kwa lengo la kukabiliana na idadi kubwa ya watu jijini.

Kauli hiyo ameitoa jana alipofanya ziara ya kawaida ya kutembelea na kukagua miradi ya kimkakati inayotekelezwa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Dkt. Mahenge alisema kuwa baada ya kutembelea na kukagua mradi wa uboreshaji wa mandhari ya eneo la kupumzikia (recreational park) katika eneo la Chinangali na kujiridhisha na hali ya ujenzi unaoendelea, ameona uhitaji wa maeneo mengine ya kupumzikia. “Ushauri wangu, kwa kuwa Jiji la Dodoma linakuwa kwa kasi, hatuwezi kuwa na ‘recreation center’ moja. Ni vizuri ziwepo zaidi ya moja. Barabara ya Singida iwepo, barabara ya Arusha iwepo, barabara ya Iringa iwepo. Zipo ‘open spaces’ nyingi zilizotengwa katika ‘Master Plan’ ya mwaka 1976”.

Aidha, ameiagiza halmashauri ya jiji hilo kuandaa na kuwasilisha ofisini kwake orodha na michoro yote ya maeneo ya wazi yaliyotengwa  yaliyo wazi na ambayo yamevamiwa na watu.  

Mkuu wa Mkoa alipiga marufuku wananchi kuvamia maeneo ya wazi na kujenga makazi na biashara za kudumu. “’Master plan’ ya mwaka 1976, kama ilionesha eneo ni ‘open space’ libaki kuwa ‘open space’. Zaidi ya hapo hatuwezi kuwa na Jiji la kisasa” alisema Dkt. Mahenge.

Wakati huohuo, aliwataka wakazi wa Dodoma kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi. “Napenda nitoe rai kwa wakazi wa Dodoma kujenga utamaduni wa kushiriki michezo na mazoezi. Michezo inasaidia kuimarisha afya na kujenga mwili” alisema Dkt. Mahenge.

Katika ziara yake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma alitembelea na alikagua miradi ya kimkakati ya uboreshaji wa mandhari ya eneo la kupumzikia (Recreational park) katika eneo la Chinangali, ujenzi wa kituo kikuu cha mabasi na soko kuu katika eneo la Nzuguni.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.