• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Gwajima azindua rasmi sherehe za Maadhimisho ya miaka 60 ya TICD.

Imewekwa tarehe: July 10th, 2023

WAZIRI  wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima, amezindua rasmi Sherehe za Maadhimisho ya miaka 60 ya Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru (TICD), sherehe ambazo zimefanyika viwanja vya Mahafali vilivyopo chuoni hapo.

Katika hotuba yake ya ufunguzi, Dkt. Gwajima aliimwagia sifa kem kem TICD kwa historia iliyotukuka katika utoaji wa elimu hapa nchini kwa kipinidi cha miaka 60 tangu kilipoanzishwa mwaka 1963.
‘’Kwa kweli, Miaka 60 ni kipindi kirefu. Ingekuwa ni umri wa binadamu, basi chuo hiki leo kingetambulishwa kama mzee mshauri mwenye busara katika jamii fulani. Hata hivyo, ni kweli kwa miaka 60 ya uhai wa Chuo hiki, ninathubutu kusema kuwa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru ni moja ya Taasisi kongwe za kujivunia katika kutoa wataalam wa sekta ya maendeleo ya jamii hapa Tanzania’’, alinukuliwa Dkt. Gwajima.

Aidha, alibainisha jinsi ambavyo awamu zote za uongozi wa nchi yetu (kuanzia awamu ya kwanza hadi awamu ya sita) zilivyoithamini kada ya Maendeleo ya Jamii hapa nchini Tanzania kutokana na umuhimu wa kada hiyo katika kuibua, kupanga, kuamua, kutekeleza, kusimamia, kufuatilia na kutathmini shughuli/miradi ya maendeleo ili kutatua changamoto za kijamii, kiuchumi, kimazingira, kiutamaduni na kisiasa.

Kwa namna ya pekee alimtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa jinsi anavyoithamini sekta ya Maendeleo ya Jamii hadi kupekekea kuanzisha rasmi Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Januari 22, 2022.
‘’Ni imani yangu kuwa wataalam wa maendeleo ya Jamii wataendelea kuenzi dhamira hiyo ya Mhe. Rais katika kuwezesha jamii kuwa na mtazamo chanya kuhusu maendeleo yao, kuondoa umaskini, maradhi na ujinga, kushughulikia changamoto za ukatili wa wanawake, watoto na wazee, kuwezesha wananchi kiuchumi, kuzingatia haki za wanawake na watoto, malezi na makuzi chanya ili kuwa na watanzania waadilifu, wazalendo na wanaofanya kazi kwa bidii’’ alisisitiza Dkt. Gwajima.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.