• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Mahenge amkabidhi rungu Afisa mdhibiti ujenzi holela

Imewekwa tarehe: June 12th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge ameagiza kubomolewa kwa majengo yote yaliyojengwa kiholela katika maeneo ambayo yamepimwa na hayatakiwi kujengwa na kuzitaka mamlaka za Maji na Umeme Mkoani hapa kutopeleka huduma hizo katika maeneo hayo.

Dkt. Mahenge ameyasema hayo leo alipofanya ziara kukagua ujenzi holela unaofanywa na wananchi waliovamia na kujigawia maeneo katika hifadhi ya Milima Jijini Dodoma, na kushuhudia nyumba moja iliyojengwa katika eneo hilo iliyofikia katika hatua ya kuezeka licha ya kuwekwa kwa alama ya “BOMOA” tangu ikiwa katika hatua ya msingi.

“Ukishaona mtu amejenga msingi, swala la kumwandikia bomoa achana nalo, wewe ni kuufuta ule msingi yaani kuubomoa kabisa hayo ndio maelekezo yangu Mkuu wa Mkoa leo, haya yote mnayaendekeza, kwa sababu mkishamwandikia siku 30 anakuja anajenga zaidi na baadae inakuja huruma ya Mahakama kuwa mlikuwa wapi mpaka anajenga kufikia hatua ya kuezeka, kwa hiyo ukishajiridhisha kuwa eneo limepimwa na haliruhusiwi kujengwa iwe amejenga msingi, ukuta au jengo lolote bomoa” alimesisitiza Dkt. Mahenge.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi amesema wao kama Halmashauri ya Jiji wamekua wakifanya kazi ya kudhibiti ujenzi holela lakini baadhi ya wananchi wamekua wakaidi, sheria ya Mipango Miji iko wazi kuwa hairuhusiwi kujenga katika maeneo ambayo yameachwa kama hifadhin ya milima.

Aidha, Kunambi amewataka wananchi kufuata sheria kwa kuwa haoni sababu ya watu kujenga kiholela katika maeneo ambayo hayajapimwa au yamepimwa lakini hayaruhusiwi kujengwa kwasababu Jiji la Dodoma bado lina viwanja vya kutosha ambavyo vimepimwa na vinaruhusiwa kujengwa makazi au Biashara.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge (mwenye shati la bluu) akiwa katika ziara kuangalia maeneo yaliyovamiwa isivyo halali. 

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi (mbele) akiwa na Afisa Mdhibiti ujenzi holela Mhandishi Ally Bella walipotembelea maeneo yaliyofanyiwa uvamizi na kufanya ujenzi holela.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.