• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DKT. Mollel atoa wito kwa wananchi kujitokeza kupima magonjwa ya Moyo

Imewekwa tarehe: February 18th, 2023

NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel ametoa wito kwa Watanzania kujitokeza kupima ili kufahamu hali zao za magonjwa ya moyo ili kutambua tatizo mapema na kuweza kulizuia kabla ya madhara makubwa kutokea.

Dkt. Mollel amesema hayo Dar es Salaam katika ufunguzi wa Mkutano wa kwanza wa Shambulio la moyo uliohudhuriwa na Madaktari wa magonjwa ya moyo na Wataalamu we wengine wa masuala ya Afya nchini.

"Wito wangu ni kwamba, suala la kupima moyo lisiwe mpaka usikie tatizo, iwe ni wakati wote, ndio maana tunawataka Wataalamu watembee katika vituo mbalimbali ili kuhakikisha wanapima Watanzania wanaofika katika vituo ili wapate kujua hali zao juu ya ugonjwa wa moyo." Amesema

Sambamba na hilo, Dkt. Mollel ametoa rai kwa wananchi kujenga tabia ya kufanya uchunguzi wa magonjwa hususan magonjwa ya moyo mara kwa mara ilikufanya utambuzi wa mapema utaosaidia katika kutibu tatizo hilo.

Aidha, Dkt. Mollel amesema, Rais Samia amehidhinisha fedha nyingi sana katika uwekezaji kwenye Sekta ya afya ili kununua vifaa tiba vya kisasa vinavyosaidia katika ufunguaji wa kifua kwa kiasi kidogo sana na kutibu tatizo la moyo hali iliyosaidia kupunguza muda wa mgonjwa kukaa hospitali kwaajili ya matibabu.

Nae, Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo JKCI Dkt. Peter Kisenge amesema, dhumuni la kikao hicho cha Wataalamu wa masuala ya mayo ni kubadilishana uzoefu ili kujiimarisha katika matibabu ya magonjwa ya moyo nchini.

Amesema, Duniani kwote zaidi ya watu milioni sita Duniani kwote hupata tatizo la mshtuko ghafla wa moyo ambalo linachangia vifo vingi kwa wananchi hivyo kuwataka.

Mbali na hayo, Dkt. Kisenge ametoa wito kwa wananchi kuepuka kula vyakula vinavyoweza kuchangia magonjwa ya mashambulio ya moyo ikiwemo vyakula vya mafuta mengi, na kuepuka uvutaji wa sigara na unywaji pombe kupita kiasi na kufanya mazoezi walau mara tatu kwa week kwa dakika 30.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.