• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Mpango: Wiki ya Nenda kwa Usalama ibadili mwenendo watumia barabara

Imewekwa tarehe: August 27th, 2024

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema ili kupata manufaa ya maadhimisho ya wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani, ni lazima kuacha kufanya maadhimisho hayo kimazoea bali yalenge kubadili fikra na mwenendo wa wananchi wanapotumia barabara.

Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati akifungua Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani na Maadhimisho ya Miaka 50 ya Baraza la Taifa la Usalama Barabarani yanayofanyika katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma. Amesema ukaguzi wa magari unapaswa kuwa endelevu na kufanyika kwa mwaka mzima badala ya kusubiri hadi kwenye Wiki ya Usalama barabarani Kitaifa.

Makamu wa Rais amesema kwa kuwa makosa ya kibinadamu ndiyo chanzo kikubwa cha ajali nchini, hakuna budi kuelekeza nguvu katika kudhibiti vihatarishi mahsusi vitano ambayo ni mwendo kasi, kuendesha chombo cha moto katika hali ya ulevi, kutovaa kofia ngumu, kutofunga mikanda ya usalama katika gari pamoja na ukosefu wa vifaa vya usalama kuwalinda watoto wadogo wawapo ndani ya magari.


Aidha ametoa rai kwa wananchi na hasa abiria katika vyombo vya usafiri kukemea au kutoa taarifa za uvunjifu wowote wa Sheria za Usalama Barabarani, hususan kuhusu uendeshaji wa mwendokasi na usio salama au uharibifu wa barabara na miundombinu yake.


Makamu wa Rais amesisitiza umuhimu wa udhibiti wa magari yanayobeba wanafunzi kwa kuwa magari mengi yana hali mbaya inayotishia usalama wa wanafunzi na madereva wenyewe. Amesema baadhi ya madereva wa magari hayo wameonekana kukosa weledi na uadilifu hali inayosababisha madhara mbalimbali zikiwemo ajali mbaya.


Halikadhalika, Makamu wa Rais amesema ni muhimu kuwekeza katika TEHAMA ili kudhibiti kirahisi ajali na makosa mengine ya usalama barabarani. Pia amesisitiza kuongeza jitihada katika kutoa elimu ya usalama barabarani kupitia njia mbalimbali hususan vyombo vya habari, machapisho mbalimbali, maonesho, sanaa na muziki, mikutano ya hadhara pamoja na njia ya mitandao ya kijamii ili kuyafikia makundi yote ya watumiaji wa barabara.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.