• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Msonde awataka Walimu kubadili mitazamo Hasi

Imewekwa tarehe: June 19th, 2024

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - TAMISEMI (Elimu) Dkt. Charles Msonde amewataka walimu kote nchini kubadili mtazamo na kuacha kufundisha kwa mazoea badala yake kumuwezesha mwanafunzi kuwa na uelewa.

Dkt. Msonde amesema hayo katika kikao kazi kati ya Walimu,Maofisa Elimu,Wakuu wa Shule,Walimu Wakuu,Wawakilishi kutoka Chama cha Walimu Tanzania,Ofisa kutoka Tume ya Utumishi wa Walimu wa wilaya ya Sikonge kilichofanyika katika shule ya Sekondari Kamagi Tarafa ya Sikonge halmashauri ya wilaya ya Sikonge.

Dkt. Msonde amewambia walimu “Tuna kazi kubwa ya kufanya jambo la kuboresha elimu mkumbuke tuna vita na isewe mazoea ‘business as usual’ kwahiyo kila mmoja wenu akili yake izame kwamba serikali ya awamu ya sita imedhamilia kwa dhati elimu Tanzania iwe bora na anayeleta ubora wa elimu ni wewe(mwalimu) na lazima tufanye vitu tofauti na kuachana na mazoea kwasababu ni vita” amesema Dkt. Msonde

Dkt. Msonde ameongeza kuwa walimu wa shule za sekondari wahakikishe wanafunzi wanajua lugha ya kingereza kwa kusikia,kusoma na kuongea badala ya kukimbizana kumaliza mada(topics) na kuiacha idadi kubwa ya wanafunzi bila uelewa.

“Tulifundishwa chuoni kuwa furaha ya mwalimu ni pale ambapo mtoto anayemfundisha amemuwezesha kupata ujuzi na umahiri hatukufundishwa chuoni kuwa raha ya mwalimu ni kukata mada zote ziishe” amesema

Aidha,Dkt. Msonde amewataka walimu kuzingatia mambo manne wakati wa ufundishaji ambayo ni kujua uwezo wa mtoto,kujua utayari wa mtoto anayemfundisha,mazingira ya mwanafunzi na umri.

Kwa upande wake Ofisa Elimu mkoa wa Tabora Mwl. Juma Kaponta amesema atahakikisha anasirikiana na walimu kuhakikisha maelekezo yaliyotolewa wanafanyiwa kazi na kuleta matokeo chanya katika mkoa wa Tabora

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.