• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Ndugulile asisitiza elimu zaidi kwa wananchi, ugonjwa wa Corona

Imewekwa tarehe: April 1st, 2020

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile amewaasa wataalam wa Sekta ya Afya kuendelea kutoa elimu kwa Wananchi kuhusu maambukizi ya ugonjwa wa Corona.

Ameyasema hayo leo wakati wa ziara yake ya kukagaua hali ya utayari wa kupambana dhidi ya maambukizi ya ugonjwa wa Corona endapo utaingia Jijini Dodoma katika maeneo yote yaliyopangwa. "Elimu bado haitoshi, kila siku ni lazima tuhakikishe tunatoa elimu kwenye jamii ili watu waweze kuelewa, watu waelewe ugonjwa huu maana yake ni nini, na kwanini tunasisitiza watu wanawe mikono, kwanini tunasisitiza maji tiririka na sabuni" alimesema Dkt Ndugulile.

Ameongeza kuwa, ni muhimu kwa wataalam wa Sekta ya Afya kutoa elimu ya kutosha kwa wananchi, huku akisisitiza kuwa si kweli kwamba matumizi ya vitakasa mikono (sanitizer) ni bora zaidi kuliko maji tiririka na sabuni. "Si kweli kwamba vitakasa mikono (sanitizer) ni bora zaidi kuliko kutumia maji tiririka na sabuni, tunahitaji tuwatoe hofu wananchi juu ya matumizi ya njia hizi mbili katika kujikinga dhidi ya ugonjwa huu" amekazia Dkt. Ndugulile.

Naibu Waziri huyo amesisitiza kuwa Wataaalam wa Sekta ya Afya kuongeza ubunifu katika kutoa elimu ili kuepuka upotoshaji unaofanywa na baadh ya watu katika jamii juu ya kutibu maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona.

Aidha, Dkt. Ndugulile amewaagiza wataalam wa Sekta ya Afya  kutumia njia nyepesi zaidi katika kutoa elimu ya ugonjwa wa Corona ili maambukizi haya yaweze kueleweka zaidi kwa wananchi.

Mbali na hayo, Dkt. Ndugulile amesema kuwa, Serikali inaendelea kuleta mahitaji ya vifaa vyote vinavyohitajika katika maeneo yaliyotengwa kwa wagonjwa wa maambukizi ya virusi vya Corona  endapo watatokea Jijini Dodoma. "Niwahakikishieni vifaa vyote tutavileta, lakini pia niendelee kuwaomba tuwe imara  muda wote, msisubiri ili kuweza kupamabana na ugonjwa huu nabidi kuwa mbelel muda wote" alisisitiza Dkt. Ndugulile.

Miongoni mwa maeneo aliyotembelea ni  Kituo cha Afya Mkonje, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na Hospitali ya DCMS.


Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akinawa mikono kwa sabuni na maji tiririka kutekeleza jukumu la kujikinga na maambukizi ya virusi vya Corona alipotembelea Kituo cha Afya Mkonze Jijini Dodoma.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile alipotembelea Kituo cha Afya Mkonze kujionea jinsi Jiji la Dodoma lilivyojiandaa katika mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona.

Mojawapo ya vyumba ambavyo vimeandaliwa maalum kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa watakaoathirika na maambukizi ya virusi vya Corona katika Kituo cha Afya Mkonze . 

Jengo lililotengwa kwa ajili ya matibabu ya wagonjwa wa Corona katika kituo cha Afya cha Mkonze Jijini Dodoma endapo atapatikana mgonjwa wa Covid-19.



Eneo lililotengwa kwaajili ya kuwatenga washukiwa wa ugonjwa wa Corona lililopo karibu na Chuo Kikuu cha Dodoma.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile akiongea na wataalam wa Sekta ya Afya wa mkoa wa Dodoma (hawapo pichani) katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma baada ya kutembelea vituo vya Afya na hospitali kuangalia maandalizi kuhusu mapambano dhidi ya maambukizi ya Corona.

Baadhi ya watumishi wa Sekta ya Afya wakimsikiliza Naibu Waziri Dkt. Ndugulile (hayupo pichani)

Baadhi ya watumishi wa Sekta ya Afya mkoa wa Dodoma wakimsikiliza Naibu Waziri Dkt. Ndugulile (hayupo pichani)

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.