• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Samia aimwagia Dodoma Jiji Bilioni 14 za miradi

Imewekwa tarehe: March 19th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi 14,482,250,000 kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo kuanzia sekta za afya, elimu, ardhi, viwanda hadi uwekezaji miradi iliyosaidia kuboresha huduma zakijamii.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alipokuwa akiongelea mafanikio ya miaka miwili ya serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ofisini kwake.

Mafuru alisema katika kipindi cha serikali ya awamu ya sita, Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya shilingi 14,482,250,000 kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika sekta za Afya, Elimu, Ardhi na Viwanda, Biashara na Uwekezaji.

Aidha, Mheshimiwa Rais anaendelea kutekeleza miradi mingine mikubwa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambayo ni ujenzi wa Barabara ya mzunguko, ujenzi wa reli ya kisasa ya mwendokasi na ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato.Miradi yote hii imelenga kuboresha maisha ya wananchi.

Akiongelea sekta ya elimu, Mkurugenzi Mafuru alisema kuwa halmashauri yake ilipokea shilingi 3,520,000,000 kutoka serikali kuu kwa ajili ya ujenzi wa madarasa 172 na samani zake.Shilingi 954,000,000 zimepokelewa kutoka kwa wahisani wa SEQUIP kwaajili ya ujenzi wa shule mpya ya Sekondari Mtemi Chiloloma, mabweni mawili na madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Bihawana. Mabweni mawili, madarasa mawili na madawati 60 katika shule ya sekondari ya wasichana ya Bunge alisema Mafuru.

Alisema kuwa shilingi 750,000,000 zimepokelewa kutoka Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA) kwaajili ya ujenzi wa shule mpya ya mchepuo wa kingereza (Msangalale English Medium). Eneo lingine lililopokea fedha shilingi 858,250,000 ni kwaajili ya uboreshaji miundo mbinu ya elimu ya msingi, aliongeza.

Mafuru alisema kuwa fedha zilizotolewa na serikali ya awamu ya sita kwa halmashauri yake ni nyingi kwaajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Alisema kuwa fedha hizo zitaleta mapinduzi makubwa katika huduma za jamii na maendeleo ya watu na halmashauri yake. Aliahidi kuendelea kusimamia fedha hizo ili zilete matokeo makubwa na kuonesha thamani ya fedha kwenye miradi hiyo.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.