• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dkt. Shekalaghe awataka waratibu wa Malaria nchini kuongeza ubunifu

Imewekwa tarehe: March 27th, 2023

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya Dkt. Seif Shekalaghe amewataka waratibu wa Malaria nchini kuongeza ubunifu na kuweka mikakati itakayosaidia kutokomeza ugonjwa wa Malaria nchini.

Dkt. Shekalaghe amesema hayo jijini Dodoma wakati akifunga mkutano uliohusisha waganga wakuu wa Mikoa na waratibu wa Malaria kwa ajili ya kupeana miongozo na mikakati itakayosaidia kupunguza na kutokomeza kabisa ugonjwa wa Malaria.

Dkt. Shekalaghe amesema ugonjwa wa Malaria bado ni changamoto katika baadhi ya maeneo nchini hivyo waratibu wanatakiwa kushirikiana na kuweka mikakati madhubuti ambayo kama itatumika vyema itasaidia kutokomeza kabisa ugonjwa huo nchini.

"Ningependa kuona vikao vya ngazi ya Mkoa vinafanyika kila robo au nusu mwaka ili kutathmini utendaji wa uratibu wa Malaria, kujadiliana kwa pamoja ni jambo la msingi litakalosaidia katika mapambano dhidi ya Malaria". Amesema Dkt. Seif.

Katibu Mkuu huyo amewataka waratibu wa Malaria kutembelea maeneo yenye kesi nyingi na kuchukua takwimu katika vituo vya afya kuanzia ngazi ya Zahanati na kuendelea, ameongeza kuwa changamoto kubwa katika Halmashauri ni ukosefu wa Magari hivyo amewataka kuazima magari ya idara nyingine ili kutekeleza majukumu yao.

Aidha, Dkt. Seif amewataka Waganga Wakuu wa Miko ana Wilaya kusimia vyema dawa zinazopelekwa katika maeneo yao ili ziweze kukidhi matibabu kwa wagonjwa wanaopatikana.

Amesema kuna baadhi ya maeneo dawa zilizopelekwa zinawahi kuisha lakini zinakua haziendani na idadi ya wagonjwa waliotibiwa hali inayopelekea kuwepo hoja namna zinazotumika katika matibabu.

Kikao hiki cha mwaka ni cha kwanza kilichokutanisha kwa pamoja waratibu wa Malaria wa Mikoa na Wilaya nchi nzima ambapo hapo awali waratibu hao walikua wanakutana kulingana na kanda walizopo hali iliyosababisha kutopata uzoofu kutoka kanda zingine.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.