• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC kuikabili Ihefu FC kwao

Imewekwa tarehe: February 14th, 2020

Timu ya Dodoma Jiji FC kinara wa ligi daraja la kwanza imeendelea kujinoa na mazoezi makali kuelekea kukabiliana na  hasimu wake Ihefu SC ambayo ipo nyuma kwa alama tatu akishikiria nafasi ya pili.

Kwa mujibu wa maelezo ya Kocha wa Dodoma Jiji FC, Mbwana Makata amesema kikosi chake kinaendelea na mazoezi ilikuwa imara zaidi kuelekea kumkabili mpinzani anayewafuatia kwani kila mechi sasa ni fainali katika mzunguko wa pili wakati wakiongoza ligi daraja la kwanza.

Mbwana ameendelea kusisitiza hamasa kutoka kwa mashabiki, waendelee kuipa 'sapoti' timu yao ili iweze kuendelea kufanya vizuri. Kwenye mzunguko wa kwanza Dodoma Jiji FC ilipata ushindi wa bao moja kwa sifuri dhidi ya Ihefu SC uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.

“Dodoma Jiji FC katika msimamo wa ligi kwa sasa tuko katika nafasi nzuri, hata hivyo hatujalidhika bado, tunaendelea kupambana ili tujiweke katika nafasi nzuri zaidi ya kupanda ligi. Kila mechi kwetu tunaicheza kama fainali, kumbuka tumecheza mechi tatu mfululizo hatujafungwa.

Tumejiandaa vizuri mechi inayokuja na Ihefu kwa sababu tumewazidi alama tatu, kila timu inang’ang’ana kuwa kileleni, cha msingi tunaujua ugumu wa mechi, ndiyo maana tunajinoa na mazoezi tuone makosa yaliyopita na kuyarekebisha ili tutengeneze 'game plan' kwa ajili ya mechi ijayo,” alisema Makata.

Kwa upande wake msemaji wa timu ya Dodoma Jiji FC,  Ramadhani Juma  ametoa wito kwa mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi ili kutoa hamasa kwa vijana hao wazidi kufanya vizuri zaidi na zaidi.  

“Timu yetu inajituma  na ipo chini ya usimamizi wa Halmashauri ya Jiji, nitoe wito kwa makampuni binafsi au kwa yeyote kwa ajili ya udhamini dirisha liko wazi, pia kwa yeyote anahitaji kuichangia timu kwa hali na mali anakaribishwa ili tuweze kuisongesha mbele timu yetu.

“Kikubwa tu mashabiki wetu nawapongeza sana kwa kuendelea kuwa bega kwa bega na sisi na niwaombe tuendelee 'kuisapoti' timu yetu. Nina imani hata Mbeya tutakuwa wote, niwaahidi tu hatutawaangusha kwani Dodoma Jiji FC iko kwa ajili ya kuwafurahisha na kufika juu kileleni” alisema Juma.    




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.