• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC mabingwa wa FDL 2019/20

Imewekwa tarehe: July 18th, 2020

Timu ya Dodoma Jiji FC inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Ligi Daraja la Kwanza nchini msimu wa 2019/20 baada ya kuifunga timu ya Gwambina FC kutoka Jijini Mwanza katika mchezo wa fainali uliofanyika katika uwanja wa Azam Complex Chamazi Jijini Dar es Salaam.

Dodoma Jiji walijihakikishia ushindi huo kwa bao la pekee la ushindi lililofungwa na mshambuliaji wake hatari Anuary Jabir katika dakika ya 52 ya mchezo baada ya kuwahadaa walinzi wa Gwambina.

Gwambina ilifanikiwa kutinga fainali hiyo baada ya kukata tiketi ya kushiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21 baada ya kuongoza kutoka kundi B la Ligi Daraja la Kwanza.

Nayo Dodoma Jiji FC iliingia fainali hiyo baada ya kuongoza kundi A na kujihakikishia nafasi ya kupanda Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2020/21. Timu hizo zilitakiwa kucheza mchezo wa fainali ili kupata mshindi wa Ligi Daraja la Kwanza msimu wa 2019/20.

Baada ya filimbi ya mwisho ya kumaliza mchezo kupulizwa uwanja mzima wa Chamazi ulirindima kwa kelele za furaha na matarumbeta kutoka kwa mashabiki wao waliosafiri na timu yao kutoka Dodoma kuja kuishangilia timu yao.

Baada ya mtanange huo kuisha, Mgeni rasmi Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwin Gondwe alikabidhi kikombe cha ubingwa kwa nahodha wa Dodoma Jiji FC Mbwana Kibacha mbele ya Rais wa TFF Wallace Karia na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa Leodger Tenga.

Baada ya Dodoma Jiji kutwaa ubingwa wa FDL kulikuwa na zawadi zingine kwa washindi mbalimbali, timu ya Iringa United imefanikiwa kutwaa zawadi ya Timu yenye nidhamu 2019/20, Jacob Masawe wa Gwambina FC amepata zawadi ya mchezaji bora wa FDL 2019/20, wakati zawadi ya golikipa bora imeenda kwa Andrew Kayuni wa Ihefu SC ya Mbeya, mfungaji bora imeenda kwa Anuary Jabir wa Dodoma Jiji FC na Kocha Bora wa mashindano imeenda kwa Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji FC Mbwana Makata.

Wachezaji wa Dodoma Jiji FC wakishangilia ushindi wao katika fainali ya FDL.


Mgeni rasmi wa mchezo wa fainali ya Ligi Daraja la Kwanza Mkuu wa Wilaya ya Temeke Mhe. Godwin Gondwe (mwenye koti jeusi) baada ya kumkabidhi nahonda wa Dodoma Jiji FC Mbwana Kibacha kikombe cha ubingwa wa FDL.

Mshambuliaji wa Dodoma Jiji FC Anuary Jabir akiwa na zawadi ya kikombe cha mfungaji bora wa mashindano ya Ligi Daraja la Kwanza FDL 2019/20.

Iringa United mshindi wa zawadi ya Timu yenye nidhamu

Andrew Kayuni golikipa wa timu ya Ihefu ndiye aliyechaguliwa kuwa golikipa bora wa mashindano.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.