• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC 'yaisaka' ligi kuu

Imewekwa tarehe: March 12th, 2020

TIMU ya Dodoma Jiji FC imeendelea kujinoa na mazoezi makali kuelekea kukabiliana na timu ya Njombe Mji FC ya Mkoani Njombe katika mchezo wa ligi daraja la kwanza Tanzania Bara utakaochukua nafasi katika dimba la CCM Jamhuri Jijini Dodoma Jumamosi hii Machi 14, 2020 kuanzia saa kumi kamili jioni.

Mahojiano maalum ya awali na msemaji wa timu hiyo, Ramadhani Juma alisema kuwa, kwa sasa wanaongoza kundi A kwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa dhidi ya Ihefu SC ya Mbarali Mbeya huku timu zote zikiwa na pointi 36.

Juma alisema kikosi chake kinaendelea na mazoezi ili kuwa imara zaidi kuelekea kumkabili mpinzani wao ambaye anashikilia nafasi ya tano akiwa amecheza mechi 17 akiwa na alama 26, tofauti ya alama 10 huku Dodoma Jiji FC ambao wanaongoza ligi daraja la kwanza kundi A ikiwa na alama 36.  

“Dodoma Jiji FC kwa msimamo wa ligi kwa sasa tuko katika nafasi nzuri, hatujaridhika bado tunaendelea kupambana ili tujiweke katika nafasi nzuri zaidi ya kupanda ligi kuu msimu ujao, kila mechi kwetu tunaicheza kama fainali ukizingatia mechi mbili mfululizo  tumepata ushindi.

“Tumejiandaa vizuri mechi kwa inayokuja dhidi ya Njombe Mji FC, kwa sababu tumewazidi alama 10 kila timu inang’ang’ana kuwa na alama nzuri zaidi kwa hiyo tunajua ugumu wa mechi ndiyo maana kocha anafanyia kazi makosa yaliyopita na kutengeneze ‘game plan’ kwa ajili ya mechi ijayo,” alisema Juma.

Kwa upande wake Kocha wa timu ya hiyo, Mbwana Makata alitoa wito kwa mashabiki wa timu hiyo kujitokeza kwa wingi ili kutoa hamasa kwa vijana hao ili wazidi kufanya vizuri zaidi. 

“Kikubwa tu mashabiki wetu nawapongeza sana kwa kuendelea kuwa bega kwa bega na sisi na niwaombe tu tuendelee kuisapoti timu yetu, na nina imani Jamhuri tutakuwa wote niwaahidi tu hatutawaangusha”, alisema Makata.  

Timu ya Dodoma Jiji FC ipo kileleni mwa kundi A ikiwa na alama 36 ikifuatiwa na Ihefu, Mbeya Kwanza, Majimaji FC, Njombe Mji FC, Friends Rangers, African Lyon, Boma FC, Cosmopolitan, Pan African, Iringa United na Mlale FC ambao wanaburuza mkia katika kundi hilo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.