• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC yapanda Ligi Kuu, Bodi ya Ligi yatoa neno

Imewekwa tarehe: July 11th, 2020

TIMU ya Dodoma Jiji FC inayomilikiwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo imetimiza azma yake ya kupanda Ligi Kuu ya Vodacom msimu ujao baada ya kushinda mchezo wake dhidi ya Iringa United kwa ushindi wa mabao 2 - 0 kwenye uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo Jula 11, 2020.

Mchezo huo ni wa mwisho kwa Ligi Daraja la kwanza msimu huu ambapo vinara hao wa kundi A wamekuwa washindi wa kundi na kuungana na Gwambina FC ya Misungwi Mwanza kupanda daraja moja kwa moja.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin alisema watahakikisha wanafanya usajili kwa umakini mkubwa na kuiandaa timu vizuri ili kuhakikisha wanafanya vizuri kunako Ligi Kuu ya soka Tanznaia Bara inayotarajiwa kuanza mwezi ujao, huku akizitahadharisha timu kubwa za Simba na Yanga kuwa zijiandae kupokea vipigo katika michezo watakayokutana na timu hiyo.

"Simba wakija hapa ni kipigo na Yanga wakija hapa ni kipigo tu, tutaiandaa timu kuwa ya ushindani mkubwa kwa kufanya usajili mzuri na kuwa na kambi nzuri" alisema Kunambi.

Kwa mujibu wa Msemaji wa timu hiyo Ramadhani Juma, Dodoma Jiji FC sasa inajiandaa kucheza fainali ya Ligi Daraja la Kwanza dhidi ya Gwambina katika mchezo wa kusaka heshima utakaopigwa kwenye dimba la Azam Complex Chamazi Jijini Dar es Salaam Jumamosi ya Julai 18 mwaka huu.

Juma alisema baada ya mchezo huo, timu itarejea kambini Dodoma kwa ajili ya taratibu za kuvunja kambi kwa muda kabla ya kurejea tena na kuanza maandalizi ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara msimu wa 2020/2021.

"Kwanza tunamshukuru Mungu aliyetuwezesha kufikia lengo kuu la timu yetu na la kila mkazi wa Dodoma ambalo ni kupanda Ligi Kuu, lakini pili tunawshukuru wadau wote kwa ushirikiano walitoa kwa uongozi na timu kwa ujumla, Waandishi wa Habari na mashabiki wetu pamoja na wadau wengine wote wamefanya kazi kubwa sana kwa ajili ya timu yao, na mwisho wa siku wamevuna walichokipanda na sasa wanasubiri uhondo wa Ligi Kuu wakiwa na timu yao ya nyumbani kabisa" alisema.

Aidha, Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia ukurasa wake rasmi wa instagram imeipongeza Dodoma Jiji FC na kuikaribisha katika ligi hiyo inayoisimamia. 


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.