• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji FC yaweka historia uwanja wa Jamhuri Dodoma

Imewekwa tarehe: October 26th, 2021

KLABU ya soka ya Dodoma Jiji imeibuka na ushindi ikiwa katika uwanja wake wa nyumbani siku ya jumapili kwa kuichapa timu ya Tanzania Prison magoli mawili kwa moja huku mechi hiyo ikichezwa usiku kwa mara ya kwanza katika historia ya soka Mkoani Dodoma na Tanzania bara nje ya Dar es Salaam.

Prison wao walianza kupata goli la mapema katika dakika ya tatu na baadae Walima Zabibu kurudi mchezoni na kusawazisha kupitia kwa Khamis Mcha aliyefunga kwa mkwaju wa penati mnamo dakika ya 31 ya mchezo huku goli la ushindi likifungwa na Emmanuel Martin katika dakika ya 59 akipokea pasi safi kutoka kwa Abubakar Ngalema.

Akizungumza baada ya mchezo kumalizika Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji Mbwana Makata amesema kuwa ilikua ni mechi muhimu sana kwao kwani hawakua katika nafasi nzuri hivyo walitakiwa washinde ili kujiweka katika tatu bora ndani ya msimamo wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara.

Makata pia amewapongeza wachezaji wake kwa kupambana na kuonesha soka safi licha ya wapinzani kucheza mpira mzuri na kupata goli la mapema bado walipambana na kuwa bora zaidi na kupelekea kuondoka na alama tatu muhimu nyumbani.

“Ulikua ni mchezo mzuri wenye ushindani, wenzetu walipata goli la mapema katika dakika ya tatu ila wachezaji wangu hawakutoka mchezoni walipambana tukasawazisha na kupata goli la ushindi” alisema Makata.

Katika hatua nyingine Afisa Habari wa timu hiyo Moses Mpunga ameipongeza TFF, Bodi ya ligi na Azam kwa kuweka taa katika dimba hilo kwani imesadia kuongeza mshabiki ambao hapo awali walikua wakikosa fursa ya kuja uwanjani kutokana na kuwa katika shuguli zao muda ambao mechi zilikua zikichezwa.

Mpunga ameongeza kuwa hatua hiyo itapelekea mechi nyingi kuchezwa usiku jambo ambalo licha ya kupata mashabiki wengi na kuongeza mapato pia itaisaidia timu hiyo kucheza mpira katika muda mzuri ambao hautakua na jua kitu kinachoweza kupelekea matokeo mazuri kwa timu hiyo.

“Mchezo umemalizika na kwa sasa macho yetu tumeyaelekeza katika mchezo wetu dhidi ya Mtibwa ambapo tutakua ugenini ni mchezo mgumu lakini tunaamini tutashinda kutokana na mikakati tuliyojiwekea” alisema Mpunga.

Dodoma Jiji imepanda kutoka nafasi ya kumi mpaka nafasi ya tatu ikiwa na alama saba huku tayari ikiwa imeshacheza michezo minne.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.