• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji, Prison inapigwa leo usiku Jamhuri 'Stadium'

Imewekwa tarehe: October 24th, 2021

TIMU ya Dodoma Jiji FC kwa mara ya kwanza leo tarehe 24 Oktoba, 2021 katika dimba la nyumbani uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma inashuka kucheza usiku dhidi ya Tanzania Prisons kutoka Jijini Mbeya.

Huu ni mchezo wa kwanza kwenye historia ya Ligi Kuu Tanzania bara kuchezwa usiku nje ya Jiji la Dar es Salaam. Mchezo huo utaanza sasa 1 usiku na kiingilio ni shilingi 5,000 katika Jukwaa Kuu na shilingi 3,000 jukwaa la mzunguko.

Dodoma Jiji FC inaingia katika mchezo huu ikiwa na kumbukumbu ya kutoka sare tasa katika mchezo wake uliopita dhidi ya Mbeya Kwanza ambao Dodoma Jiji ilikuwa ugenini. Ilihali Tanzania Prisons SC ilitoka sare tasa ugenini pia dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro.

Katika ukurasa rasmi wa instagram, Prison wameandika kuwa “Mchezo utakuwa mgumu kutokana na maandalizi ya timu zote mbili ila ni muhimu sana kwetu kwani tunahitaji kupata alama tatu (3).”

Hata hivyo Prison wamekiri kuwa “Licha ya uzuri wa timu ya Dodoma Jiji katika michezo yao ya hivi karibuni, kama timu tumejipanga na tupo tayari kukabiliana nao.” Wamesema Prison kwa tahadhari.

Dodoma Jiji inataka kuweka historia kwa kushinda mchezo huu wa kwanza kuchezwa usiku kwenye uwanja wao wa nyumbani baada ya kucheza mechi kadhaa usiku Jijini Dar es Salaam. 

Akiongea na tovuti hii, mmoja wa viongozi wa Dodoma Jiji FC, Fredy Mwakisambwe amesema "Ni mchezo muhimu sana kwetu, tunashukuru timu iko vizuri na imefanya mazoezi ya kutosha kujiandaa na mchezo huu, uongozi umeshafanya majukumu yake na sasa ni jukumu la benchi la ufundi na wachezaji kukamilisha sehemu yao na kuwapa furaha wananchi wa Dodoma" amesema Mwakisambwe kwa kujiamini.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.