• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji wajipanga na mikakati 7 kukuza mapato

Imewekwa tarehe: February 21st, 2020

Ili kuongeza kiwango cha ukusanyaji wa mapato kwa mwaka 2020/2021 Jiji la Dodoma limebainisha njia saba za ukusanyaji mapato ikiwemo kuwatumia watendaji wa kata na mitaa ili waweze kukusanya mapato katika maeneo yao.

Njia nyingine ni pamoja na kufanya uchambuzi wa vyanzo vya mapato vya halmashauri ili kukusanya takwimu sahihi za vyanzo hivyo, kuhakikisha ukusanyaji wa mapato kutoka vyanzo na vituo vyote unatumia vifaa na mfumo wa kielektroniki ili kudhibiti upotevu wa mapato.

Akizungumza katika baraza la madiwani wakati wa uwasilishaji mapendekezo ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema mkakati mwingine ni kuboresha minada ya Mpunguzi, Kikombo na Hombolo.

Aidha, amesema watakua wanaandaa 'database' ya viwanja vyote vinavyozalishwa ili kudhibiti utoaji/ulipaji na uendelezaji, kuandaa mfumo wa ufuatiliaji wa majalada yote ya halmashauri ikiwemo yanayohusu mapato pamoja na kufanya tathimini ya madeni ambayo halmashauri inadai ili kuongeza mapato.

Mikakati hiyo imekuja baada ya mapato ya Jiji hilo lilikoshika namba mbili kwa ukusanyaji wa mapato huku likiongoza kwa mapato ghafi kupungua kutoka kukusanya Sh Bilioni 177 kwa mwaka wa fedha 2019/2020 hadi Sh Bilioni 116 kwa mwaka wa fedha 2020/2021.

Kunambi amesema kwa mwaka huu wa fedha Jiji la Dodoma limekadiriwa kukusanya mapato jumla ya Sh Bilioni 116 kutoka katika vyanzo vyake vya ndani (own source), Serikali Kuu na wahisani mbalimbali kwa ajili ya kutekeleza shughuli za maendeleo, utoaji huduma na kujiendesha.

Amesema sababu za kupungua huko kwa mapato kumetokana na kupungua kwa vyanzo vya mapato ya nje na ya ndani. Vyanzo vya mapato ya nje ni ruzuku toka serikali Kuu na kutoletewa fedha toka kwa wahisani kwa miradi ya TSCP, TASAF, SEDEP na EQUIP.

"Mapato ya ndani yamepungua kutokana na kupungua kwa mapato yanayotokana na Idara ya Ardhi, Mipangomiji na Maliasili ambapo kwa mwaka wa fedha ulioisha walikadiriwa kukusanya asilimia 30 ya bajeti yote lakini kwa mwaka huu wa fedha imekusanya asilimia 26 ya bajeti yote.

Lakini sasa tunaamini kwa mikakati tuliyojiwekea tunaenda kufanya vizuri tena kwenye ukusanyaji, tumejipanga kuhakikisha hakuna mapato yatakayopotea," Amesema Kunambi.

Katika kikao hicho cha baraza la madiwani wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma alifafanua kwa undani utekelezaji wa miradi maendeleo na utoaji huduma katika jiji la Dodoma kwa kipindi cha hadi kufikia Disemba, 2019 ikiwa ni utekelezaji wa bajeti ya mwaka wa fedha 2019/2020.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi akifanya wasilisho la utekelezaji wa miradi na utoaji huduma kwa kipindi cha hadi Disemba, 2019 wakati wa kikao cha baraza la madiwani wa Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.