• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji yajiimarisha kuwakabili Simba

Imewekwa tarehe: May 25th, 2021

Kikosi cha Dodoma Jiji leo kimefanya mazoezi ya mwisho katika uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam ikiwa ni maandalizi ya kuikabili Simba SC katika mchezo wa robo fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam (AFSC) utakaochezwa katika dimba hilo kesho Jumatano ya tarehe 26/05/2021 saa moja kamili usiku.

Dodoma Jiji yenye maskani yake katikati ya nchi yalipo Makao Makuu ya Serikali Dodoma, inakutana na Simba kwa mara ya kwanza katika michuano hiyo, ikiwa na rekodi ya kutopoteza mchezo hata mmoja huku ikiongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya magoli kuliko timu yoyote ndani ya ligi hiyo ndani ya msimu huu.

Walima zabibu hao wana jumla ya magoli 14 ya kufunga kati ya michezo mitatu waliyocheza kwenye FA msimu huu, ambayo ni Dodoma Jiji 5 – 1 Hollywoof FC, Dodoma Jiji 7 – 0 Kipigwe FC na Dodoma Jiji 2 – 0 KMC.

Licha ya burudani muruwa inayotokana na mpira mzuri wanaoucheza Dodoma Jiji, timu hiyo imekua tishio kwa vilabu vingi kutokana na kupata matokeo katika viwanja vigumu nchini, hivyo kuufanya mchezo wake dhidi ya Simba kuwa na mvuto mkuwa kwa mashabiki na wapenzi wa soka kutokana na timu hizo kucheza mchezo unaoshabihiana.

“Mechi hii ni muhimu kwenu kwani itaangaliwa na watu wengi hivyo nenda kaoneshe uwezo wako mwisho wa siku italeta mafanikio kwa mtu mmoja mmoja na timu kwa ujumla” hiyo ni moja kati ya kauli ilizoziongea Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji Mbwana Makata kwa wachezaji wake baada ya mazoezi ya mwisho leo.

Dodoma Jiji inawakosa nyota wake wawili ambao ni Anuary Jabir na Rajab Mgalula walikua nje ya kikosi kutokana na kuwa majeruhi.

Kila la heri Timu yetu, Jiji letu




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.