• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

NMB yakabidhi vifaa vya kuhifadhia taka vya 20 Milioni

Imewekwa tarehe: June 16th, 2022

Na. Theresia Francis, Dodoma

Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya kuhifadhia taka kwa Halmashaurim ya Jiji la Dodoma, kwa ajili ya kuhakikisha wakazi wake wanapata sehemu ya kuhifadhia taka na jiji linakuwa safi.

Makabidhiano hayo yamefanyika leo jijini Dodoma katika uwanja wa Nyerere Square, ambapo Afisa Mkuu wa Fedha wa NMB, Juma Kimori alikabidhi vifaa hivyo vya kuhifadhia taka 100 vyenye thamani ya shilingi milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

“Tunajua jitihada zako kwenye suala zima la mazingira una dira kubwa ya kuonesha kwamba unahitaji Dodoma iwe ya kijani, tunakuahidi tutaendelea kuwa pamoja na wewe kuhakikisha Dodoma inakuwa ya kijani kupitia programu yetu ya kuwekeza kwa jamii. Sisi NMB tunafarijika sana kuona yanayotokea kwenye Jiji la Dodoma, naomba nichukue fursa hii kukupongeza kwa dhati kabisa kwa jitihada unazozichukua katika kuboresha mazingira ya Dodoma. Tunatambua kazi zote unazofanya na timu yako kwa kuhakikisha Dodoma inakua jiji linalovutia katika usafi” alisema Kimori.

Aidha, Kimori alisema kuwa NMB wanatambua hitaji la vifaa vya kuhifadhia taka kwa Jiji la Dodoma. Aliongeza kuwa benki yake inayatambua mahitaji ya jamii na watahakikisha wanatoa vifaa hivyo Dodoma kulingana na idadi inayohitajika.

Kimori alisema “...nikuhakikishie kwamba tunajua hitaji lako ni vifaa vya kuhifadhia taka 350 kwa jiji hili, leo tunakabidhi vifaa 100 tutaendelea kushirikiana na wewe kuhakikisha idadi inatimia. Benki ya NMB inajua umuhimu wa jamii na kila mwaka tunatenga zaidi ya bilioni mbili kupeleka kwenye jamii katika maeneo mbalimbali kama afya, elimu, mazingira na kutoa elimu ya fedha kwa jamii yetu, mazingira ni moja ya nguzo ambazo tunaziangalia na mkoa wa Dodoma mnaonyesha mfano kwa jinsi ambavyo mnahimiza utunzaji wa mazingira.

Kimori alimalizia kwa kuwahimiza wana Dodoma kutunza vifaa walivyopewa viweze kudumu kwa muda mrefu, na kutumia kwa usahihi vifaa walivyopewa ili kutimiza lengo la mkuu wa mkoa na timu yake nzima kuhakikisha wana Dodoma hawatupi taka hovyo na mji unakua msafi.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.