• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma, Singida sio kame, wala masikini na hakuna njaa - Dkt. Nchimbi

Imewekwa tarehe: August 9th, 2019

MIKOA ya Dodoma na Singida imetakiwa kuweka utaratibu wa kuvuma maji ya mvua ili yatumike katika shughuli za kilimo na kupunguza utegemezi wa mvua.

Kauli hiyo ilitolewa na mgeni rasmi katika kilele cha maonesho ya Nanenane Kanda ya Kati, Canon Dkt Rehema Nchimbi alipokuwa akihutubia mamia ya wananchi katika viwanja vya Nanenane Nzuguni jijini Dodoma hivi karibuni.

Canon Dkt Nchimbi ambaye pia ni Mkuu wa Mkoa wa Singida alisema kuwa shughuli za kilimo na mifugo katika mikoa hiyo zinategemea sana mvua. “Mvua ikikosekana shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi utayumba na malisho yatapotea kabisa. Kupitia Nanenane hii tutote na suluhisho. Tanzania tuna ardhi ya kutosha kubeba kilimo na mifugo. Haiwezekani tuwe mikoa kame, mikoa masikini, mikoa ya njaa. Tukatae kabisa umasikini” alisema Canon Dkt Nchimbi.

Mkuu huyo wa Mkoa alisema kuwa ni Mkoa wa Dodoma pekee ambapo zabibu zinalimwa mara mbili kwa mwaka. “Ni korosho za Singida zinazolimwa mara mbili kwa mwaka, ni alizeti ya Singida inayozaa mara mbili kwa mwaka. Dodoma na Singida siyo kame, Dodoma na Singida siyo masikini, Dodoma na Singida hakuna njaa. Tutaondoa ukame kwa mipango. Tuweke utaratibu wa kuvuma maji ya mvua. Tuzo zijazo za Nanenane tutenge zawadi kwa watakaoonesha ubingwa katika kuvuna maji ya mvua. Na tuzo kwa mkulima bora malisho ya mifugo” alisema Canon Dkt Nchimbi.

Maonesho ya 26 ya Nanenane yaliyofanyika katika viwanja vya Nanenane Nzuguni Dodoma yalishirikisha makampuni 36, wajasiriamali 300 na taasisi 43 yakiongozwa na kaulimbiu isemayo “Kilimo, mifugo na uvuvi kwa ukuaji wa uchumi wa nchi”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.