• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

RC Mtaka akagua ujenzi kiwanda kikubwa Jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: September 9th, 2021

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amesema, uongozi wa Mkoa umejipanga kuhakikisha kuwa unaondoa urasimu pamoja na kuboresha mazingira rafiki na salama ya kufanya uwekezaji.

Akiongea mara baada ya kufanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuzalisha mbolea ya asili cha Itracom kinachojengwa katika eneo la Nala nje kidogo ya Jiji la Dodoma, Mtaka amesema lazima wahakikishe urasimu wote unaondolewa ili kuwepo na mazingira bora ya kuwekeza.

"Tutakapoondoa urasimu tutapata wawekezaji na hawa watu watatusaidia kama hivi vijana wetu wanapata ajira lakini pamoja na kupata ajira muwajali wakiwa kazini uwape vitendea kazi na kauli nzuri wawapo kazini" amesema Mtaka.

Aidha, amekemea tabia ya wawekezaji kuondoa wafanyakazi wanaowasilisha mawazo yao na kutaja hatua hiyo kuwa haikubaliki katika sheria ya Tanzania, huku akiweka msisitizo kile alichokitaja kama ni Watanzania kupewa kipaumbele katika ajira na si watu wengine.

Mtaka ameutaka uongozi wa kampuni hiyo kuweka usawa katika kazi kwa wazawa kwani katika kiwanda hicho kumeonekana kuwepo na idadi kubwa ya watu kutoka Burundi kuliko Tanzania. 

Kwa upande wake Emmanuel Mavunde mfanyakazi katika kiwanda hicho amesema wanakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kuwa na wasiwasi wa kufukuzwa kazi hasa pale wanapohoji jambo huku wakitupiwa kauli ambazo si rafiki na posho pia ni ndogo ikilinganishwa na kazi wanazofanya. 

Awali muwakilishi wa Intracom Tanzania, Bwana Samson Rubenga alisema watahakikisha wanafanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha kiwanda kinafikia lengo.

Hata hivyo kiwanda hicho kinatarajia kukamilika Juni, 2022 ambapo kiwanda kitakuwa na uwezo wa kuzalisha mbolea tani laki 6  huku wananchi elfu 3 wakipata ajira ya kudumu.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.