• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma yaomba maonesho ya Nanenane Kitaifa 2021

Imewekwa tarehe: August 4th, 2020

SERIKALI ya Mkoa wa Dodoma imeomba maonesho ya Nanenane kitaifa mwaka 2021 yafanyike katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma ili kuipa heshima Makao Makuu ya nchi na fursa kwa wananchi wengi kujionea maarifa yatokanayo na maonesho hayo katika kuboresha kilimo, mifugo na uvuvi.

Ombi hilo lilitolewa na mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge alipokuwa akiongea na wannanchi katika maonesho ya Nanenane kwenye uwanja wa Nanenane Nzuguni jijini hapa.

Dkt. Mahenge alisema “nikuombe Mheshimiwa Waziri, Dodoma ni Makao Makuu yetu sote na itajengwa na watanzania wote. Namna moja wapo ya kujenga na kuharakisha ustawi wa Makao Makuu ni pamoja na mchango wa kufanyia shughuli mbalimbali za kitaifa Makao Makuu. Tumeshuhudia sherehe za Uhuru zikifanyikia hapa, tumeshuhudia sherehe za Muungano zikifanyikia hapa, itapendeza sana Mheshimiwa Waziri ukitupelekea maombi kwamba na sherehe hizi za Nanenane za kitaifa ziweze kufanyikia Makao Makuu hii itatangaza sana na kuleta wawekezaji katika Mkoa wetu na Makao Makuu ya nchi”.

Akiongelea maonesho yanayoendelea kwenye uwanja wa Nanenane, aliwashawishi wananchi wengi kutembelea maonesho hayo ili kunufaika na maonesho hayo. “Katika maonesho haya hasa kwenye mabanda, kuna vitu vingi vinaoneshwa ambavyo ni fursa kwenu wana Dodoma ambao tupo karibu kuliko mikoa yote kwenda kuyaona. Na kama tunataka kumuunga mkono Mheshimiwa Rais lazima tuanze kuzalisha kwa nguvu zetu zote na kwa wingi ili tuweze kunufaika na miundombinu inayojengwa katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu” alisema Dkt. Mahenge.

Aidha, aliwashukuru wadau wote waliochukua maeneo kwa ajili ya kuonesha shughuli zao katika Nanenane.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.