• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma yapanda ufaulu darasa la saba 2023

Imewekwa tarehe: December 28th, 2023

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amefanya Mkutano na waandishi wa Habari kutangaza matokeo ya darasa la Saba kimkoa pamoja na Mkakati kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2024. Mkutano huo umefanyika kwenye ukumbi wa shule ya msingi St. Gaspar iliyopo Miyuji Jijini Dodoma. 

Senyamule amebainisha matokeo hayo kwa kila Halmashauri ya Mkoa wa Dodoma na akionesha ongezeko la ufaulu lililopatika.

"Mkoa una ufaulu wa asilimia 87.05 mwaka 2023 sawa na ongezeko la asilimia 4.04 ukilinganisha na matokeo ya mwaka 2022 ambapo ufaulu ulikua asilimia 83.01. Katika matokeo haya, kila Halmashauri imeongeza ufaulu. Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa imepanda kutoka 78% - 86% sawa na ongezeko la 7.91% Wilaya ya Kondoa kutoka 71.50% hadi 78.02 sawa na ongezeko la 6.52%.

"Chemba imetoka 70.53% hadi 75.49 sawa na ongezeko la 4.96, Chamwino kutoka 86.49% hadi 89.81 sawa na ongezeko la 3.32%, Jiji la Dodoma kutoka 89.93% hadi 93.18% sawa na ongezeko la 3.25%, Kondoa Mji kutoka 86.28 hadi 88.37% sawa na ongezeko la 2.09%, Bahi kutoka 95.88% hadi 97.64% sawa na ongezeko la 1.76% na Mpwapwa kutoka 83.91% hadi 84.56% sawa na ongezeko la 0.65. Hii ni hatua kubwa kwa Mkoa wetu". Amesema Senyamule

Aidha amewataka wazazi kuhakikisha wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza 2024 wanakwenda shule kwani bila kufanya hivyo adhabu kali itatolewa kwa wanafunzi wote watakaobainika.

"Kufuatia matokeo hayo, jumla ya wanafunzi 52,891 wamefaulu ikiwa wavulana ni 22,893 na wasichana ni 29,998 sawa na 87.05% ya wanafunzi waliofanya Mtihani 2023. Wanafunzi wote waliofaulu wamepangiwa shule katika awamu ya kwanza. Hakuna Mwanafunzi aliyefaulu na hajapangiwa shule katika Mkoa wa Dodoma.

"Naagiza wanafunzi wote wawepo darasani ifikapo tarehe 8 Januari, 2024 bila kukosa. Kwa wanafunzi wanaoendelea na masomo, tumeweka Mkakati kuhakikisha wanarudi shuleni kwani Mkoa hautalifumbia macho suala hilo. Wale ambao hawatakua darasani kufikia tarehe 8, bila sababu za msingi, watapewa adhabu ya kulima matuta 10 kama utekelezaji wa Mpango wa Elimu ya kujitegemea" Ameongeza Senyamule.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.