• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

DUWASA, Equit Banki waonesha mfano bora Dodoma - Naibu Meya Chibago

Imewekwa tarehe: February 26th, 2020

NAIBU Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Emmanuel Chibago amewaomba wadau wa mazingira kuiga mfano wa kutunza mazingira uliofanywa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA) wakishirikiana na benki ya Equity kwa kuboresha mzunguko wa magari eneo la Makole jijini hapa.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mzunguko wa Makole (round about) amewaomba wadau wengine wote wa mazingira kuiga mfano huo ili kuboresha mandhari ya Jiji la Dodoma na mazingira yake.

Chibago aliwataka wadau wote wa mazingira kufanya ili kuunga mkono taasisi hizo mbili zilizoonesha mfano bora wa kutunza mazingira na kuboresha miundombinu ya mazingira kwa sababu italeta muonekano mzuri jijini hapa.

“Nianze kwa kuwapongeza sana mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira mjini Dodoma na ‘Equity bank’ kwa kuonesha mfano huu mkubwa wa jinsi gani tunavyoweza kutunza mazingira na tukaleta muonekano mzuri. Hivyo, niwaombe wadau wengine wote wa mazingira jijini kwetu Dodoma kuunga mkono juhudi hizi” alisema Chibago.

Aidha, kwa upande wake mwakilishi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Majisafi na Maji-taka (DUWASA) jijini Dodoma, Mhandisi Kashinga Yunga, kwa kushirikiana na benki ya Equity wameandaa utaratibu utakao wasaidia watu wa hali ya chini kukopeshwa fedha ili waweze kuunganishiwa huduma ya maji safi na maji taka jijini hapa.

“Tumezindua muungano huu kuwawezesha wateja wetu ambao wanaitaji kupata huduma ya maji safi na maji taka lakini hawana uwezo wa kulipia ghalama za kutengeneza miundombinu hiyo.

“Wenzetu ‘Equity Bank’ wametushika mkono kwa kutoa mikopo hiyo midogo midogo wakiwa na lengo la mtu asikose maji au huduma ya majitaka kwa sababu hana fedha wakati huo” alisema Yunga.

Nae Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya Equit Mkoa wa Dodoma, Joseph Malatuna amesema lengo la mkakati huo ni kutoa suluhisho endelevu la kudumu kupitia uwezeshaji kwa jamii kupitia mikopo midogo midogo katika sekta ya maji ili kuhakikisha mwananchi mmoja moja au kikundi wanapata huduma za maji safi na usafi wa Mazingira.

“Tupo katika kushirikiana na wenzetu DUWASA, tunaelekeza nguvu zote kwa pamoja katika upatikanaji wa maji safi na usafi wa mazingira hii ni kuendana na lengo la DUWASA na lengo letu kutoa suluhisho endelevu la kudumu kupitia uwezeshaji kwa jamii kupitia mikopo midogo midogo katika sekta ya maji na kuhakikisha mwananchi mmoja moja au kikundi wanapata huduma za maji safi na usafi wa Mazingira” alisema Malatuna.

Naibu Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Mhe. Emmanuel Chibago (wa tano kulia) akiwa na viongozi wa DUWASA, Equit Bank na Jiji la Dodoma baadha ya kuzingua eneo la mzunguko lililoboreshwa na DUWASA na Benki ya Equit.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.