• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Elimu Kombaini FC Yailaza na Viatu Sheria Ndogo FC

Imewekwa tarehe: January 29th, 2025

Na. Mussa Richard, DODOMA

Timu ya Mpira wa Miguu ya Elimu Kombaini imeishushia kipigo cha mbwa mwizi Timu ya Mpira wa Miguu ya Sheria ndogo FC baada ya kuichabanga mabao 3-1 katika mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma ikiwa ni muendelezo wa michezo mbalimbali katika tamasha la kuukaribisha Mwaka 2025 la CCD Watumishi Bonanza lililoandaliwa na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma.

Baada ya mchezo kutamatika Nahodha wa timu ya Elimu Kombaini, Given Alestides, alisema “tumefanikiwa kupata matokeo na tukiwa kama watu wa elimu tumewafundisha wanasheria jinsi ya kucheza mpira wa miguu na wameelewa, lakini yote kwa yote tumefurahi kushiriki bonanza hili na tumekutana wa watu wengi na tumejifunza mambo mengi sana, tunampongeza sana Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma kwa ubunifu huu alioufanya”.

Nae Nahodha wa Timu ya Sheria ndogo, Salumu Bwenda akatoa sababu zilizowafanya wapoteze mchezo huo kwa idadi kubwa ya mabao. “Mchezo umeisha na tumepoteza kwa bao 3-1 ni matokeo mabaya lakini sababu kubwa ni kuwa wachezaji wetu wana maumbo makubwa na umri umeenda pia ndiyo maana hata magoli mengi tuliyofungwa yalitokana na wapinzani wetu kupiga mipira mirefu nyuma ya mabeki na kukimbia kwa kasi kuingia kwenye boksi letu, yote kwa yote naamini watu wote wamefurahia mpira kwasababu hii ilikua ni burudani na ni moja ya mazoezi” alisema Bwenda.

Bonanza hilo lililoandaliwa lilikuwa na lengo la kuwakutanisha watumishi wote wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuukaribisha Mwaka 2025 huku kaulimbiu kwa mwaka huu ikiwa ni ‘Halmashauri ya Jiji la Dodoma Ushirikiano na Umoja Wetu Ndiyo Nyenzo ya Huduma Bora’.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.