• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Elimu ya anuani za makazi kupelekwa tena Mbabala

Imewekwa tarehe: April 29th, 2022

NA. Dennis Gondwe, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma kupeleka timu ya hamasa na elimu juu ya Anuani za Makazi Kata ya Mbabala ili kufanikisha zoezi hilo.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alipokuwa akijibu swali la Diwani wa Kata ya Mbabala, Mheshimiwa Paskazia Mayala (pichani juu) aliyetaka kujua lini kata yake itapata uhamasishaji wa anuani za makazi ili wananchi wachangamkie fursa hiyo ya kupata namba za makazi katika nyumba zao. Mheshimiwa Mayala aliuliza katika mkutano wa Baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mkurugenzi Mafuru alifafanua kuwa elimu ya Anuani za Makazi ilitolewa kwenye ngazi zote katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma. “Tulipeleka waratibu kwenda kujifunza Morogoro. Waliporudi tukatoa elimu katika ngazi ya jiji, watendaji na wenyeviti wa mitaa. Lengo lilikuwa kujua nani anaendesha zoezi hilo na taratibu zake zilivyo ili kuwa na uelewa wa pamoja” alisema Mafuru.

Akiongelea wataalam kwenda tena Kata ya Mbabala, alisema kuwa watakwenda kesho. “Mheshimiwa Mwenyekiti, nikuhakikishie kuwa kesho wataalam wa Anuani za Makazi watafika Kata ya Mbabala na kufanya uhamasishaji. Sasa hivi wanarudia kuhakikisha maeneo ambayo hawakufanya vizuri. Mimi naangalia taarifa za kila siku za mwenendo wa zoezi hili. Kesho watakuwepo Mbabala na kazi itafanyika kwa kiwango cha juu” alisema Mafuru kwa kujiamini.

Zoezi la uandikishaji Anuani za Makazi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma limefikia asilimia 86.85.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru akipokuwa akijibu swali za Mheshimiwa Diwani Paskazia Mayala wa Kata ya Mbabala.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.