• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Eneo la Machinga Bahi Road kazi imeanza, kuwekwa miundombinu, sakafu

Imewekwa tarehe: November 4th, 2021

ENEO la Bahi Road lililopo Kata ya Kizota ambalo limetengwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa ajili ya kutumiwa na wafanyabishara wadogo maarufu kama machinga limeanza kufanyiwa usanifu na Jiji hilo kwa kushirikiana na Chuo cha Ardhi ili liwe rafiki kwa kuwekewa miundombinu muhimu tayari kwa kuwahamishia wafanyabiashara hao.

Meya wa Jiji hilo Mstahiki Prof. Davis Mwamfupe alifika katika eneo hilo mapema leo Novemba 4, 2021 na kushuhudia baadhi ya wafanyabiashara waliokuwa na vibanda na wauza mbao wakibomoa na kuondoa bidhaa zao ili kupisha kazi ya kuliandaa eneo hilo kitalaam huku likitarajiwa kuwekewa sakafu ya mawe na taa ili kuwezesha biashara kufanyika hata wakati wa siku.

Baadhi ya washafanyabiashara waliokuwa wakibomoa vibanda vyao kwa hiyari yao walikiri mbele Meya Mwamfupe kuwa wameshirikishwa vizuri na Jiji katika zoezi la kupisha eneo hilo na hakuna nguvu ya ziada iliyotumika zaidi ya mazungumzo ya pande mbili na ndiyo sababu wanabomoa vibanda vyao vya awali na kuhamisha bidhaa.

Hivi karibuni Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru aliliambia Baraza la Madiwani la Halmashauri hiyo kuwa, baada ya maelekezo ya Serikali kuhusu kuwapanga kwa utaratibu mzuri wafanyabiashara hao, Halmashauri hiyo kwa kushirikiana na Serikali ya Mkoa na Chuo cha Ardhi walikagua maeneo saba tofauti ili kupata eneo zuri zaidi la wafanyabiashara hao kuhamia kwa ajili ya shughuli zao.

Mafuru alikuwa akijibu swali la papo kwa papo la diwani wa Kata ya Nkuhungu Mhe. Daudi Mkhandi aliyetaka kujua hatua zilizochukuliwa na Halmashauri ya Jiji kuhusu suala kuwapanga wamachinga baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kutoa agizo la kupangwa vizuri kwa wafanyabiashara hao bila kuathiri shughuli zao.

Mkurugenzi Mafuru alisema eneo la 'Bahi road' ni muafaka kwa wafanyabiashara hao na kwamba walishafanya nao kikao na kwamba Halmashauri itaweka sakafu ya mawe katika eneo hilo na kujenga vibanda vidogo ambavyo vitatumiwa kuwekea bidhaa za wafanyabiashara hao.

“Mheshimiwa mwenyekiti, baada ya agizo la Mhe. Rais sisi hatukutaka kuwaswaga tu wamachinga bali tunataka kuwaboreshea mazingira ya kazi zao kwa kuwaandalia eneo zuri sana pale 'Bahi road', eneo lile lina uwezo wa kuchukua zaidi ya machinga 2,000 na sisi jiji la Dodoma tuna takribani machinga 1950” alisema Mkurugenzi Mafuru.

Alisema Jiji limekuja na mpango wa kushirikiana na wataalam wa Chuo cha Ardhi ili watengeneze mazingira ya kisasa ya eneo la kibiashara ili pia kuupendezesha mji na kuwawekea mazingira mazuri wafanyabiashara hao na tayari kazi imeshaanza.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.