• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Fanyeni marejesho muaminike- Diwani Mkhandi

Imewekwa tarehe: April 28th, 2023

Na. Dennis Gondwe, Ipagala-DODOMA

KIKUNDI cha Wanawake cha ufugaji kuku Winning Star kilichokopeshwa shilingi 20,000,000 fedha ya mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kimetakiwa kufanya marejesho yake mapema ili kiendelee kuaminika na kuwezesha wananchi wengine kupata mkopo.

Agizo hilo lilitolewa na Diwani wa Kata ya Nkuhungu, Daud Mkhandi alipoongoza timu namba mbili ya Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutembelea na kukagua shughuli za kikundi hicho kilichopo katika Kata ya Ipagala.

Mkhandi alikiagiza kikundi hicho kurejesha mkopo wake kwa mujibu wa mkataba ili kuwawezesha wananchi wengine kukopa pamoja na kuongeza wigo wa kukopeshwa tena kitakapohitaji mkopo mwingine. Kikundi hicho kilishauriwa kuwasilisha ombi la kutafutiwa eneo la kufanyia shughuli zao katika halmashauri tofauti na kutegemea eneo la kupanga.

Akiwasilisha taarifa fupi ya kikundi cha wanawake cha Winning Star Mjumbe wa kikundi hicho, Julia Malaba alisema kuwa kikundhi hilo kinalenga kuwa ni wafugaji wakubwa wenye weledi wakifanya ufugaji unaoendana na teknolojia ya kisasa. “Kikundi kinalenga kupunguza utegemezi katika familia na jamii na kujiimarisha kiuchumi” alisema Malaba.

Ikumbukwe kuwa kikundi cha Winning Star ni kikundi cha wanawake sita wajasiriamali kinachojihusisha na ufugaji wa kuku, uuzaji wa kuku na mayai kilichoanzishwa tarehe 10 Desemba, 2020.

=30=

Kamati ya Fedha yaridhishwa mradi shamba la zabibu

Na. Dennis Gondwe, Msalato- DODOMA

KAMATI ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma yaridhishwa na mradi wa shamba la zabibu la halmashauri na kuelekeza juhudi ziongezwe ili uzalishaji uongezeke na kuakisi thamani ya fedha.

Kauli hiyo ilitolewa na Diwani wa Kata ya Nkuhungu, Daud Mkhandi alipoongoza timu namba mbili ya Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutembelea na kukagua mradi wa shamba la zabibu la halmashauri katika Kata ya Msalato.

Mkhandi alisema kuwa Kamati ya Fedha na Utawala imeridhishwa na hali ya shamba hilo na kuipongeza Divisheni ya Kilimo mjini kwa kuanzisha na kusimamia shamba darasa hilo.

…

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.