• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Gharama za data Tanzania ni nafuu - Dkt. Bakari

Imewekwa tarehe: February 22nd, 2022

GHARAMA nafuu za data kwenye simu ni miongoni mwa mafanikio ambayo tafiti mbalimbali zimeonesha kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zenye upatikanaji wa gharama nafuu. Imeelezwa kuwa uwekezaji kwenye Miundombinu na Sera nzuri ya Serikali kwenye Sekta ya Mawasiliano zimewezesha upatikanaji wa huduma bora na za gharama nafuu kwa wananchi.

Akizungumza na Wahariri wa vyombo vya habari Jijini Dar Es Salaam, leo tarehe 22/02/2022, Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) Dkt. Jabiri Bakari amewaambia wahariri kwamba TCRA imekuwa ikitekeleza jukumu la kuweka mazingira rafiki katika ushindani wa utoaji huduma za mawasiliano kwa kuhakikisha watoa huduma wanajenga ushindani wenye afya ili kuboresha utoaji huduma bora na nafuu kwa wananchi.

Dkt. Jabiri amesema, Serikali kupitia TCRA, imewekeza na kujenga miundombinu yenye gharama kubwa iliyosaidia upatikanaji wa huduma za mawasiliano zilizo bora kwa gharama nafuu hapa nchini ukilinganisha na nchi nyingine Barani Afrika na Ulimwenguni, na kusisitiza kuwa tafiti mbalimbali zimebainisha.

Mathalani bei ya data kwa wastani wa 1GB ni Dola za Kimarekani (USD) 0.750 sawa na shilingi za Kitanzania TZS 1,725. Imeelezwa kuwa mlinganisho wa bei za data mwaka 2021 unaonesha kuwa Tanzania ni nchi ya 6 miongoni mwa nchi 52 barani Afrika, ambazo kiwango cha bei ya data kipo chini kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Taasisi ya utafiti iitwayo British Technology Research Firm.

Kama ilivyo elezwa awali, Barani Afrika Tanzania imo miongoni mwa nchi Kumi kinara kwa unafuu wa gharama ya data inayotumika kwenye simu; hatua hii ni muhimu ikizingatiwa kuwa Serikali imekuwa ikiweka mazingira wezeshi ya uwepo wa watoa huduma wengi wa mawasiliano ya simu ili kuhanikiza ushindani wenye manufaa kwa wawekezaji na kuwapatia wananchi unafuu wa gharama za mawasiliano unaotokana na mazingira ya ushindani kibiashara.

Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Dkt. Jabiri Bakari (wa kwanza kulia) akijibu hoja mbalimbali kutoka kwa wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa kuangalia mafanikio ya utoaji huduma za data nchini.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.