• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Gwajima atoa wito kwa wadau kushirikiana na maafisa maendeleo ya jamii

Imewekwa tarehe: December 11th, 2022

WADAU wametakiwa kuwashirikisha Maafisa Maendeleo ya Jamii kwenye kuhakikisha jamii inabadili fikra kuhusu lishe na kuona umuhimu wa Lishe Bora kwa Ustawi wa Taifa.

Akizungumza na wananchi pamoja na Wadau wa Lishe wakati wa Mkutano Mkuu wa 8 wa Lishe uliofanyika Mkoani Mara, Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima amesema atafuatilia ufanisi wa wadau kwenye kuwatumia Maafisa Maendeleo ya Jamii kwani ndiyo wenye taaluma ya kubadilisha fikra za jamii.

"Maafisa Maendeleo ya Jamii ni wataalam wa kubadilisha fikra za Jamii, wakati wataalam wa Lishe ni wanatumia taaluma yao kutengeneza mikakati ya lishe ili ikubalike kwenye jamii hivyo katika eneo hili tupo pamoja tutashirikiana" amesema Waziri Gwajima.

Amesisitiza pia umuhimu wa kuungana ili kupata matokeo mazuri ya utekelezaji wa afua za lishe ikiwemo kushirikiana Jamii yenyewe pamoja na sekta nyinginezo ikiwemo viongozi wa Dini na Mila.

Waziri Dkt. Gwajima pia amewakumbusha walimu na Wazazi kuacha kuwaadhibu watoto kwa kiwango kikubwa pale wanapoona hawaelewi, amesema wakati mwingine inatokana na lishe duni inayoathiri afya ya akili, hivyo wawashirikishe na wataalam wa Lishe kutatua changamoto hiyo.

Aidha, amevitaka vikundi vyote vya Jamii vinavyojitolea, ikiwemo SMAUJATA, Skauti, Girl Guides, Redcross, Mabaraza ya Wazee, Majukwaa ya Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi, Mabaraza ya Watoto na jumuiya za kivyama kubeba Ajenda za kimkakati za maendeleo ya jamii ikiwemo Ajenda ya Lishe ili kuhakikisha Ajenda hiyo inaifikia jamii.

"Kwa sababu Wizara yangu ndio lango la kuingia kwenye jamii, Taasisi ya lishe tukae pamoja kupitia Wizara mama tuone tunawezeshaje vikundi hivi ili kujua wamefikia jamii Kwa kiasi gani" amesisitiza Dkt. Gwajima

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.