• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hakikisheni ujenzi wa VETA Wilaya 63 unaanza ifikapo Januari - Waziri Mkenda

Imewekwa tarehe: December 27th, 2022


MAMLAKA ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetakiwa kuhakikisha inakamilisha hatua za kuwezesha kuanza ujenzi wa vyuo 63 vya Wilaya na kimoja cha Mkoa ili uanze ifikapo Januari 2023.

Hayo yameelezwa hivi karibuni Jijini Dar es Salaam na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda katika kikao cha pamoja kati ya Uongozi wa Wizara na Menejimenti ya VETA.

Kikao hicho kililenga kupokea taarifa ya hatua za maandalizi ya kuanza ujenzi huo na kuweka mkakati wa utekelezaji wake.

Waziri Mkenda amesema lengo la Serikali ni kuhakikisha huduma ya elimu ya Ufundi inasogezwa karibu na wananchi hivyo kuhakikisha kila Wilaya ina chuo hicho na kutaka VETA kuhakikisha kazi hiyo ya ujenzi inaanza mara moja na kwa kuzingatia taratibu na sheria husika ikiwemo ya manunuzi.

Mkenda amesema amefarijika na taarifa kuwa tayari Tangazo la 'pre- qualification' limetolewa katika Mfumo wa Kieletroniki wa Manunuzi ya Umma (TANePS) na kutoa rai kwa wakandarasi wenye sifa kujitokeza kushiriki katika fursa hiyo.

"Nimefurahi kuwa sasa kazi imeanza kwa kutoa tangazo la pre- qualification, nawapongeza na naomba kasi iendelee na mhakikishe mnashirikisha wataalamu kutoka taasisi zetu nyingine katika kutoa ushauri ili kazi hii ikamilike katika ubora," amesema Mkenda.

Mkenda ameongeza kuwa Serikali haitavumilia ucheleweshaji wa kazi hiyo kwani ni moja ya eneo la kimkakati katika Serikali na Wizara katika kuhakikisha vijana wa Kitanzania wanapata ujuzi.

Serikali katika mwaka huu wa fedha imetenga fedha kwa ajili ya kujenga vyuo vya VETA katika Wilaya 63 ambazo hazina vyuo vya Wilaya na kimoja cha Mkoa katika Mkoa wa Songwe.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa VETA, Anthony Kisore ametaja baadhi ya Wilaya zinazojengwa vyuo hivyo kuwa Arumeru, Chamwino, Kondoa, Mpwapwa, Kakonko, Kibondo, Hai, Same, Rorya, Serengeti, Gairo, Bunda, Tarime na Kahama

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.