• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hali ya uchumi yazidi kuimarika, ajira mil 12.6 zazalishwa

Imewekwa tarehe: April 1st, 2020

Waziri Mkuu, Mhe. Kassim Majaliwa, amesoma hotuba ya mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali, pamoja na makadirio ya mapato na matumizi ya fedha za Ofisi ya Waziri Mkuu na Ofisi ya Bunge kwa mwaka 2020/2021.

"Tangu mwaka 2015 hadi sasa, Serikali imeokoa Sh. bil 19.83 ya mishahara kwa kuwaondoa watumishi hewa 19,708 na vyeti ya kughushi 15,411"

"Hali ya uchumi imeendelea kuimarika, Januari hadi Septemba 2019 ukuaji halisi wa pato la Taifa ulifikia asilimia 6.9 hii ikichangiwa na shughuli za ujenzi kwa asilimia 14.8, madini na mawe 12.6%, habari na mawasiliano 11%, uchukuzi na uhifadhi wa mizigo 88%, na huduma za usambazaji maji 8.5%".

Akiongelea suala la virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa mafua makali (Covid-19), Waziri Mkuu amesema kuwa Tangu kugundulika kwa homa kali ya mapafu (Corona) hapa nchini Serikali inafanya juhudi mbalimbali katika kukabiliana na ugonjwa huu, ikiwemo kuimarisha ukaguzi, upimaji na ufuatiliaji wa wasafiri wanaoingia nchini pamoja na kutoa huduma za matibabu kwa wagonjwa wanaothibitishwa kuwa na ugonjwa huo katika sehemu zilizoainishwa pote nchini.

"Utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo na uboreshaji wa huduma za jamii nchini kwenye awamu ya tano umezalisha jumla ya ajira mil 12.6"

Ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), ufufuaji wa Shirika la Ndege Tanzania, ufufuaji wa Shirika la mali za Ushirika, ujenzi wa bwawa la ufuaji umeme la Julius Nyerere, uboreshaji miundombinu ya maji, elimu na afya ni kati ya hatua za msingi katika kuhakikisha Tanzania inafika uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, amesema Waziri Mkuu.

Aidha, ameongeza kuwa ukusanyaji wa mapato umeongezeka kutoka  wastani wa TZS Bil. 850 kwa mwezi mwaka 2015 hadi kufikia wastani wa TZS Trilioni 1.3 mwaka 2019, hii ni kutokana na Serikali kuimarisha matumizi ya mifumo ya mapato kwa njia ya kielektroniki.

Changamoto ya maji imetatuliwa kwa kutekeleza ujenzi na ukarabati wa miradi ya maji 1,423, kati ya hiyo 772 imekamilika ambapo miradi 710 ipo vijijini na miradi 82 ipo mijini.

Vilevile, Serikali imeongeza mikopo katika elimu ya juu kutoka TZS Bil. 365 mwaka 2015 hadi kufikia TZS Bil. 450 mwaka 2019 ili kuwawezesha wanafunzi kupata elimu. Pia amesema kuwa Serikali imegharamia ujenzi wa Zahanati 1,198, ukarabati na ujenzi wa vituo vya afya vipya 487, hospitali za halmashauri za wilaya 69, na hospitali za mikoa 10.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.