• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Halmashauri 31 zaagizwa kuhamishia ofisi kwenye maeneo yao ya utawala

Imewekwa tarehe: October 10th, 2019

Serikali imeziagiza Halmashauri 31 ambazo ofisi zao zipo nje ya maeneo yao ya utawala kuhamisha ofisi na kwenda kwenye maeneo yao ya utawala ndani ya siku 30 kuanzia tarehe 07 Oktoba, 2019.

Agizo hilo limetolewa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo tarehe 07 Oktoba, 2019 wakati akiongea na watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga na wanahabari mjini Sumbawanga baada ya kupokea maelekezo ya Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye alibaini kuwa halmashauri nyingi hazifanyi kazi katika maeneo yao ya utawala na hivyo kupelekea utoaji wa huduma kusua sua kwa wananchi na kurudisha nyuma maendeleo na mipango ya Serikali.

Waziri Jafo amezitaja halmashauri hizo kuwa ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Arusha, Halmashauri ya Wilaya Kondoa, Halmashauri ya Wilaya Geita, Halmashauri ya Wilaya Iringa, Halmashauri ya Wilaya Mufindi, Halmashauri ya Wilaya Bukoba, Halmashauri ya Wilaya Mpanda, Halmashauri ya Wilaya Kasulu, Halmashauri ya Wilaya Kigoma, Halmashauri ya Wilaya Moshi, Halmashauri ya Wilaya Lindi, Halmashauri ya Wilaya Babati, Halmashauri ya Wilaya Mbulu, Halmashauri ya Wilaya Musoma, Halmashauri ya Wilaya Bunda na Halmashauri ya Wilaya Tarime.

Halmashauri nyingine ni pamoja na Halmashauri ya Wilaya Mbeya, Halmashauri ya Wilaya Kilombero, Halmashauri ya Wilaya Mtwara, Halmashauri ya Wilaya Masasi, Halmashauri ya Wilaya Newala, Halmashauri ya Wilaya Njombe, Halmashauri ya Wilaya Kibaha, Halmashauri ya Wilaya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya Mbinga, Halmashauri ya Wilaya Shinyanga, Halmashauri ya Wilaya Bariadi, Halmashauri ya Wilaya Singida, Halmashauri ya Wilaya Nzega, Halmashauri ya Wilaya Korogwe na Halmashauri ya Wilaya Handeni.

Awali Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alitoa mwezi mmoja kwa watendaji wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga kuhamia kwenye Mji mdogo wa Laela  ambao umejenga makao yake makuu katika Manispaa ya Sumbawanga wakati lengo la kuanzisha Halmashauri ya Wilaya ya Sumbawanga lilikuwa ni kusogeza huduma kwa wananchi lakini mpaka sasa hawajahamisha ofisi zao kwenda katika eneo lao la utawala ambalo ni Mji mdogo wa Laela

Mhe. Magufuli alisema Mkurugenzi wa Halmashauri anatembea kilomita takribani 95 kwenda na kurudi ili awahudumie wananchi wakati kama angekuwepo karibu na wananchi adha zote wanazopata wananchi huduma kufuata huduma zisingekuwepo.

Chanzo: Tovuti ya tamisemi.go.tz


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.