• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Wananchi jitokezeni kujiandikisha kwa wingi - RC Dkt. Mahenge

Imewekwa tarehe: October 11th, 2019

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Binilith Mahenge amewataka wananchi mkoani hapa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika vituo vya uandikishaji wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa.

Kauli hiyo aliitoa muda mfupi baada ya kujiandikisha katika kituo cha kuandikisha wapiga kura cha Nyerere, kilichopo Mtaa wa Nyerere, Kata ya Kilimani leo asubuhi.

Dkt. Mahenge alisema kuwa zoezi la uandikishaji linaenda vizuri. Alisema kwa siku tatu za kwanza za uandikishaji huo, jumla ya wananchi 393,534 walijiandikisha, sawa na asilimia 38.23. Alisema kuwa maoteo ya uandikishaji ngazi ya mkoa ni kuandikisha wananchi 1,029,265. “Jana mvua ilinyesha maeneo mengi na baadhi ya watu kushindwa kujitokeza kujiandikisha. Nataka nitumie fursa hii kwamba leo hali ya hewa ni nzuri wananchi waende kujiandikisha kwa wingi” alisema Dkt Mahenge. Tukiongeza juhudi, tutafikia lengo la uandikishaji, aliongeza.

Kwa upande wake, Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro alisema kuwa hali ya uandikishaji katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma inaendelea vizuri. Katika siku tatu za uandikishaji kuanzia tarehe 8 - 10 Oktoba, 2019, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeandikisha wananchi 45,717, kati yao wanaume ni 23,987 na wanawake ni 21,730 alisema.

Uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka 2019 utafanyika tarehe 24 Novemba, 2019 ukiongozwa na kaulimbiu isemayo “Viongozi bora wa Serikali za Mitaa ni chachu ya maendeleo, ni haki na wajibu wako kujiandikisha, kugombea na kuchagua kiongozi bora”.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge akipata maelekezo kutoka kwa Afisa Mwandikishaji wa Kituo cha kujiandikisha kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika tarehe 24 Novemba 2019 nchini kote.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.