• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Halmashauri ya Jiji la Dodoma yatekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Imewekwa tarehe: September 14th, 2022

Na. Josephina Kayugwa, DODOMA.

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma yatekeleza agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kutaka halmashauri zote zijisimamie kimapato, kwa kujenga miradi mbalimbali ya kimkakati kupitia fedha za ndani itakayoiongezea halmashauri hiyo mapato.

Akiongea katika ukumbi mdogo wa mikutano wa Jiji la Dodoma alipokuwa akitoa taarifa kwa Madiwani kutoka Zanzibar waliofika kwaajili ya kujifunza na kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mkuu wa Divisheni ya Mipango na Uratibu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Francis Kaunda alisema Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeweza kujenga miradi ya kimkakati kama Soko la wazi la Machinga, Jengo la kitega uchumi Mtumba, Maegesho ya malori Nala na Hoteli ya nyota nne Dodoma City Hotel.

“Mapato ya ndani yameifanya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ifanikishe kujenga miradi mbalimbali ambayo itaongeza mapato kwenye Halmashauri, haya yote yamefanikiwa kutokana na ushirikiano mzuri baina ya Madiwani na wataalamu waliopo ndani ya Halmashauri,”

“Kupitia miradi hii tunaona jinsi gani Jiji la Dodoma limejipanga kujisimamia kimapato kwa zaidi ya asilimia 100 na kutekeleza maagizo yote ya kimkakati,” aliongezea Kaunda.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Kikwajuni Zanzibar, Ibrahim Fataki alisema katika  ziara hii amejifunza mambo mengi ikiwemo jinsi ambavyo Jiji la Dodoma limeweza kujisimamia kimapato na kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati kupitia mapato ya ndani.

“Mimi nimejifunza mengi nimeona namna gani wanaendeleza mipango miji pia nimethibitisha kuwa Jiji la Dodoma lina utanuzi mkubwa na mafanikio makubwa katika Serikali ya Tanzania, tukitoka hapa tunakwenda kuona jinsi gani na sisi mipango yetu tutakavyoipanga katika miji yetu,” alisema Fataki

Sambamba na hilo aliishukuru Halmashauri ya Jiji kwa mapokezi mazuri na kutoa ushauri kwa Halmashauri nyingine za Tanzania bara na Zanzibar, kutembelea Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwaajili ya kujifunza mambo mbalimbali ya kimaendeleo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.