• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Halmashauri ya Jiji yajipanga kumaliza changamoto ya Sukari

Imewekwa tarehe: February 16th, 2024

Na. John Masanja, DODOMA

“Sisi kama Waheshimiwa Madiwani tupo tayari kusaidiana na vyombo vya ulinzi na usalama katika kutoa taarifa juu ya watu wanaoficha sukari, lakini tuendelee kuviamini vyombo hivi kwa juhudi zinazofanyika juu ya changamoto hii”

Hayo yalisemwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Prof. Davis Mwamfupe katika Mkutano wa Baraza la Madiwani Robo ya pili (Oktoba – Desemba) 2023/2024 uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Aidha, Prof. Mwamfupe alisisitiza ushirikishwaji wa viongozi ngazi ya kata na mitaa katika uendeshwaji wa oparesheni hiyo kwa sababu imekuwa ni changamoto katika jamii. Baadhi ya wafanyabiashara wamekuwa wakificha sukari hali inayofanya bei yake kupanda na kuadimika katika soko.

Awali akifungua mkutano huo, Prof. Mwamfupe alitoa taarifa ya kuanzishwa kwa mfumo wa ufundishaji mubashara (E- Learning) wa kujifunzia kupitia Tehama katika Shule ya Sekondari Dodoma ikiwa ni mmoja kati ya shule 10 nchini zilizochaguliwa kwa majaribio ya awali.

Kufuatia umuhimu wa mfumo wa ufundishaji mubashara, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais TAMISEMI- Mohamed Mchengerwa aliziagiza halmashauri zote nchini kutenga fedha kwa ajili ya uanzishaji wa mfumo huo hadi kufikia mwaka 2025.

Katika hatua nyingine Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Fungo aliahidi kulifanyia kazi suala la ujenzi holela wa vizimba pembezoni mwa Soko la wazi la Machinga wakati akijibu swali la papo kwa papo lililoulizwa na Diwani wa Kata ya Majengo, Shifaa Ibrahim aliyetaka kufahamu Jiji limejipanga vipi kushughulikia suala la ujenzi holela wa vizimba pembezoni mwa soko hilo.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.