• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Halmashauri zasaini mkataba mikopo ya asilimia 10

Imewekwa tarehe: February 7th, 2025

Na. Hellen M. Minja,

Habari – DodomaRS

Halmashauri chini ya Ofisi ya Rais – TAMISEMI, leo Februari 07, 2025, zimetekeleza agizo la Rais wa Tanzania kwa kusaini Mikataba na benki washirika inayohusu utoaji wa mikopo inayotokana na 10% ya mapato ya ndani ya Halmashauri hizo ambayo hutolewa kwa vikundi vya Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu.

Hafla hiyo ya utiaji saini, imefanyika baina ya benki tatu washirika ambazo ni NMB, CRDB na Uchumi Commercial Bank na Halmashauri 10 zilizowakilisha Halmashauri nyingine 175 za Mikoa yote ya Tanzania Bara katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma jengo la Mkapa Jijini humu.

Waziri mwenye dhamana Mhe. Mohamed Mchengerwa, amesema huo ni utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais la kuangalia namna bora ya utoaji wa mikopo hiyo ili fedha hizo ambazo zimelengwa kuyakomboa makundi maalumu ziweze kuleta tija.

“Katika kutekeleza maelekezo hayo, ilionekana kuwa mikopo hii itolewe katika mifumo ya kibenki na mifumo iliyoboreshwa na ilionekana Serikali ianze kutoa mikopo hiyo kwa kushirikiana na Mabenki lengo likiwa ni kuongeza ufanisi katika usimamizi na kuibua yale yanayowasibu Watanzania wa kawaida, wanyonge na wenye vipato vidogo.”

Aidha, ameongeza kuwa, zaidi ya shilingi 234,000,000,000 ambazo ndio kiwango cha juu kabisa, zinatarajiwa kutolewa kwa njia ya mikopo na zinakusudiwa kwenda kwa wananchi wa chini kabisa kwa lengo la kuinua uchumi wao, vikundi na Taifa kwa ujumla.

Nae, Katibu Mkuu TAMISEMI Bw. Adolf Ndunguru, amesema “matamanio ya Mhe. Rais ni kuona ufanisi umeboreshwa katika utoaji wa mikopo hii ambayo aliitolea maelekezo yake mwezi Machi, 2023, hivyo ni mwanzo wa mapinduzi makubwa katika kuhakikisha inaleta matokeo yenye tija kuliko huko nyuma”.

Akitoa salamu za Mkoa wake, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule amewakaribisha wageni Mkoani hapa na kuwasihi kuchangia uchumi wa Mkoa kwa kununua bidhaa za Dodoma pamoja na kutembelea miradi mikubwa ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa hapa Makao Makuu ya nchi.

Vilevile, benki washirika wameishukuru Serikali kwa kuwachagua kwenye mradi huo na watahakikisha wanufaika wanapata mikopo kwa wakati na wale wenye vigezo wanahudumiwa kwa wakati pia huku

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.