• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hata vijijini wanahitaji msaada wa kisheria- Dkt. Fatuma Mganga

Imewekwa tarehe: September 15th, 2022


Na. Getruda Shomi, DODOMA.

MWAKILISHI wa mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dkt. Fatuma Mganga amezitaka Taasisi za kusimamia haki za binadamu na zile za msaada wa kisheria kuweka utaratibu wa kuwafikia wananchi wa vijijini ili waweze kunufaika na huduma zao.

Aliyasema hayo alipokuwa akikagua mabanda ya maonesho katika maadhimisho ya miaka 20 ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yanayofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Convetion Center.

Mganga alisema kuwa Taasisi za msaada wa kisheria zisiishie tu mijini bali kuwepo na njia nzuri ya kuwafikia wananchi walioko vijijini ili nao waweze kupata msaada wa kisheria.

“Wekeni nia madhubuti ya kuwafikia wananchi wa vijijini ili nao wajue  mnatoa huduma zenu bure, nao wapate msaada wa kisheria” alisema Mganga.

Aidha, Mganga aliongeza kuwa Taasisi za kisheria zinapowafadhili mawakili katika utoaji wa msaada wa kisheria lazima kuwe na ufatiliaji ili kusudi la kuwatetea walengwa liweze kufanikiwa na wapatiwe haki zao.  

“Wekeni njia Madhubuti yakuhakikisha mnawafikia wananchi wote na kuwafatilia wale mnaowawezesha kama kweli wanafanya kazi hizo za kuwafikia na kutoa msaada wa kisheria kama taasisi zenu zinavyolenga kufikisha huduma hizi kwa jamii”

Hata hivyo Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Amina Talib aliongeza kuwa kuna Taasisi hazifanyi vizuri zina udanganyifu katika utoaji wa huduma hivyo muwe na ufatiliaji.

“kuna Taasisi zinaudanganyifu muwe na ufatiliaji na kujua kama wanawafikia wananchi kweli”alisema Talib.

Naye Mtapa Wilson, Afisa mawasiliano wa Taasisi ya “Legal Service Facility” alielezea kuwa Taasisi yao hufanya mapitio, tathimini na ufatiliaji wa moja kwa moja kwa wale wanaowawezesha katika kutoa msaada wa kisheria kwa jamii.

“tunautaratibu wakufanya mapitio, tathimini na ufatiliaji kwa wale tunaowawezesha ili kuona kama kweli msaada wetu unatumika vizuri na kuwafikia wananchi kweli”

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.