• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Idara ya Elimu yataja mafaniko, mikakati

Imewekwa tarehe: February 12th, 2021

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma kupitia Idara ya Elimu Msingi na Sekondari imeainisha mafanikio iliyoyapata katika sekta hiyo ndani ya kipindi kifupi na kutolewa kwa taarifa katika kikao cha Wadau wa elimu kilichofanyika leo Jijini Dodoma.

Akiainisha mafanikio hayo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji hilo, Afisa Elimu Sekondari Mwl. Upendo Rweyemamu amesema kuwa miongoni mwa mafanikio hayo ni pamoja na kuendelea kuimarika kwa ubora wa huduma za kiutumishi kwa walimu na wadau wengine wanaotegemea idara ya Elimu Msingi na Sekondari, kuimarika kwa michakato ya ufundishaji na ujifunzaji kwenye shule  za Msingi na Sekondari

Mwl. Rweyemamu amesema pia Halmashauri imeboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia na upatikanaji wa vifaa muhimu shuleni, huku ikiongeza uwajibikaji na ushiriki wa jamii katika usimamizi na utoaji wa elimu bora.

“Halmashauri yetu haijaishia hapo imeendelea kutoa fedha za ulinzi, Maji na Umeme kwa shule zote za msingi na sekondari za serikali kwa fedha za mapato ya ndani yaani (Own Source)” Alisema Mwl. Rweyemamu.

Hata hivyo utoro, ukosefu wa huduma ya chakula cha mchana kwa wanafunzi, mimba kwa wanafunzi wa kike, ushiriki mdogo wa jamii katika mambo yanayohusu maendeleo ya shule na elimu ya watoto wao zimetajwa kama changamoto zinazoikabili sekta ya elimu ndani ya Halmashauri hiyo.

Aidha Mwl. Rweyemamu ameongeza kuwa Halmashauri imeendelea kutenga fedha katika bajeti ya Halmashauri ya kila mwaka kwa ajili ya miradi ya maendeleo ili kuimarisha na kuongeza idadi ya miundombinu na samani katika shule za Msingi na Sekondari.

“Licha ya changamoto tunazokutana nazo Halmashauri inaendelea kujenga vyumba vya madarasa 42, majengo ya utawala 6, utengenezaji wa meza na viti 5,000 na matundu ya vyoo 30 kwa Shule za Sekondari, huku kwa Shule za Msingi tunaendelea na ujenzi wa vyumba vya madarasa 22, utengenezaji wa meza na viti 2,352 na matundu ya vyoo 19”. Aliongeza Mwl. Rweyemamu.

Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu akitoa maelezo ya mafanikio yaliyopatikana katika eneo la elimu Jijini Dodoma.


Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma, Mhe. Profesa Davis Mwamfupe (wa kwanza kulia) akiwa na wadau wengine wa elimu wakimsikiliza Mwalimu Upendo Rweyemamu akiwasilisha mada kuhusu hali ya elimu Jijini Dodoma.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.