• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hongera Dodoma Jiji, ujenzi wa soko la wazi la Machinga - ALAT Taifa

Imewekwa tarehe: June 23rd, 2022

Na. Shaban Ally, Dodoma 

Mwenyekiti Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Murshid Ngeze ameipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kutekeleza mradi mkubwa wa kimkakati wa soko la wazi la Machinga kwa lengo la kuwatengenezea mazingira rafiki ya biashara.

Pongezi hizo alizitoa alipoongoza timu ya ALAT taifa walipofanya ziara ya kutembelea mradi huo uliopo eneo la Bahi road jijini Dodoma.

“Kwa niaba ya ALAT, nikushukuru sana Mkuu wa Mkoa wa Dodoma pamoja na viongozi wengine wa jiji kwa kuupiga mwingi. Lakini nikuombe mheshimiwa mkuu wa mkoa kuzingatia suala la usalama katika eneo hili la mradi ili kuepusha usumbufu kwa wafanyabiashara”, alisema Ngeze.

Ngeze aliushauri uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, kuzingatia maendeleo ya kiuchumi kwa wafanyabiashara hao kwa kuwapa elimu ya biashara ili kuweza kuwakomboa kiuchumi. “Nikuombe mheshimiwa mkuu wa mkoa uweke utaratibu wa mafunzo ya biashara kwa wafanyabiashara hao kwa lengo la kuwaendeleza” aliongeza Ngeze.

Ngeze alihitimisha kwa kuwaomba viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma hususani wajumbe wa ALAT, kwenda kujifunza miradi ya maendeleo katika Halmashauri yake ya Kagera ili kupanua mawazo ya kimaendeleo kwa viongozi hao.

Kwa upande wake Naibu Meya wa Jiji la Dodoma, Emmanuel Chibago alimpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia halmashauri yake kiasi cha shilingi bilioni 2.5 kuendeleza ujenzi wa mradi huo.

Naibu Meya aliwaomba viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma pamoja na ALAT kudumisha umoja na ushirikiano baina yao ili kuchochea maendeleo zaidi. “Niwaombe ndugu viongozi wenzangu kwa pamoja tudumishe umoja wetu na ushirikiano ili asije akatokea mtu yeyote wa kuvunja umoja wetu”, alisema Chibago.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Mhe. Anthony Mtaka akimuonyesha Mwenyekiti Jumuiya ya Tawala za Mitaa Tanzania (ALAT), Murshid Ngeze moja ya aina ya vizimba vitakavyotumika katika Soko la wazi la wamachinga jijini Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.