• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hongera Jiji kwa utoaji mikopo ya asilimia 10

Imewekwa tarehe: August 29th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Dodoma imeipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kutekeleza takwa la kisheria la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kutoka mapato ya ndani kwenda kwa makundi maalum.

Pongezi hizo zilitolewa na Katibu wa CCM Wilaya ya Dodoma, Sophia Kibaba wakati wa majumuisho ya ziara ya siku tatu ya Kamati ya Siasa Wilaya ya Dodoma yaliyofanyika katika ofisi ya CCM Wilaya.

Kibaba alisema kuwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma inafanya vizuri katika utekelezaji wa utoaji mikopo ya asilimia 10 kutoka katika mapato ya ndani. “Pongezi kwa Jiji la Dodoma kwa kazi kubwa ya mikopo ya asilimia 10 ya makundi maalum ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Sehemu nyingi mikopo inayokopeshwa ni kidogo na haizidi shilingi milioni tano” alisema Kibaba.

Alisema kuwa vikundi vinapokopeshwa fedha kidogo vinashindwa kujiendesha. “Mkopo ukitolewa mkubwa unakuwa na tija zaidi kwa uendeshaji vikundi. Niwapongeze pia kwa utaratibu wa kuvifuatilia vikundi vilivyokopeshwa ili vistawi zaidi na kufanya marejesho kwa muda uliopangwa” alisema Kibaba.

Akiongelea ushirikiano baina ya CCM na Serikali, alisema kuwa ushirikiano huo ni mzuri. “Serikali msisubiri ziara za chama ili ziibue na kutatua changamoto. Kama kuna jambo linahitaji utayari na ushiriki wa CCM, basi tuwasiliane mapema ili tutoe ushauri au maelekezo ya utekelezaji. Ni vizuri zaidi chama kuwa sehemu ya utekelezaji wa mipango ya serikali. Milango ya CCM Wilaya ipo wazi ili nyumba tunayojenga iendelee kukomaa” alisema Kibaba kwa kumaanisha dhamira thabiti.

 Kuhusu utekelezaji wa maelekezo ya CCM wilaya, alisema kuwa serikali inatakiwa kuyatekeleza na kutoa mrejesho wa hali ya utekelezaji. “Tunapotembelea miradi ya maendeleo na kutoa maelekezo, tunataka utekelezaji wake uwe wa haraka. Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ipo haraka sana kujibu utekelezaji wa maelekezo ya CCM. Tunapenda kuona matokeo chanya ya utekelezaji wa maelekezo ya CCM kwa serikali yake” alisema Kibaba kwa msisitizo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.