• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hospitali Tembezi yatibu 644, Waziri Jaffo azindua rasmi

Imewekwa tarehe: June 27th, 2018

HUDUMA za matatibu kwa mfumo wa Hospitali Tembezi iliyoanza Jumatatu Juni 25, 2018 inaendelea katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Dodoma Mtakatifu Gemma iliyopo Kata ya Miyuji Jijini humo ambapo mpaka sasa jumla ya wagonjwa 664 wamehudumiwa ndani ya siku mbili za Jumatatu na jumanne.


 Kwa mujibu wa Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Ernest Njile, Madaktari Bingwa wa fani mbalimbali wamekutana pamoja kutoa huduma za kiwango cha hali juu ambapo kati ya wagonjwa 664 waliohudumiwa, wagonjwa 26 wamefanyiwa upasuaji wa mifupa na wa kawaida na zaidi ya wagonjwa 38 wanatarajiwa kupasuliwa leo Jumatano Juni 27.


 Akizungumza wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa huduma hiyo Hospitalini hapo leo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, TAMISEMI Selemani Jaffo aliipongeza Halmashauri ya Jiji na wadau wote kwa kufanikisha zoezi hilo muhimu kwa Afya za Watanzania na kwamba huduma wanayoitoa ni ya kujitoa na ni ibada kubwa mbele ya Mungu.

 Alisema kuwa, amepita katika wodi mbalimbali na kushuhudia wagonjwa wanavyopatiwa huduma ambapo baadhi yao walikuwa wamekata tamaa ya kupata matibabu lakini wamepata matumaini mapya baada ya kusogezewa huduma hiyo ya kibingwa.


Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi alitoa wito kwa wananchi hususan wakazi wa Jiji kujitokeza kupata huduma hiyo iliyosogezwa karibu zaidi, ikiwa ni juhudi za Serikali za kuwafikishia Wananchi wake huduma.

 Naye Mstahiki Meya wa Jiji hilo Profesa Davis Mwamfupe awataka madiwani wenzake kuhamasisha Wananchi katika Kata zao ili wajitokeze kwa wingi kupatiwa huduma za Afya na wataalam hao waliobobea.


 Kwa upande wake, Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi Vijana na Ajira ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Anthony Mavunde aliiomba Serikali kupitia kwa Waziri Jaffo kulipatia Jiji la Dodoma fedha za ujenzi wa kituo cha Afya katika Kata ya Miyuji ili kisaidie kuhudumia wagonjwa wengi wanaotegemea Hospitali Teule ya Wilaya Mtakatifu Gemma.


Mganga Mkuu wa Jiji la Dodoma Hamadi Nyembea alisema huduma hiyo inafanikishwa na Jiji kwa kushirikiana na Hospitali mbalimbali ikiwemo Benjamini Mkapa na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma, na inatarajiwa kuendelea hadi Ijumaa Juni 29, 2018.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.