• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Hospitali ya Mkoa wa Mara yaanza kazi, agizo la Ummy latekelezwa

Imewekwa tarehe: August 31st, 2020

Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara (Kwangwa) iliyoasisiwa na hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mwaka 1977 imeanza kutoa huduma ya magonjwa ya nje (OPD) na kitengo cha Mama na Mtoto. Hii inafuatia Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kufanya ziara katikati ya mwezi huu na kuitaka Hospitali hiyo kuanza huduma mara moja baada ya ujenzi wake kuwa umefikia zaidi ya asilimia 90.

  • Mama wa kwanza ajifungua salama salmini na wengine wafuatia;
  • Mtoto apewa jina la Baba wa Taifa 'Julius' huku wengine wakipewa 'Maria' na 'Samia'

Katika taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto leo tarehe 31 Agosti, 2020 imesema kuwa Wazara inafurahi kuujuza umma kuwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara (Kwangwa) imeanza kutoa huduma za matibabu ikiwa ni utekelezaji wa adhma ya muda mrefu ya Serikali kuendelea na utekelezaji wenye lengo la kusogeza huduma za afya karibu zaidi na wananchi.

Matokeo ya kuanza kwa huduma yameleta matunda na matokeo chanya katika siku ya kwanza  ya utoaji huduma hospitalini hapo, ambapo hadi mchana watoto watatu wamezaliwa salama salmini na wote wakiwa na afya njema pamoja na wazazi wao.

Watoto hao watatu ambapo aliyezaliwa wa kwanza ni wa kiume na wawili wengine waliofuata ni wa kike wamepewa na wazazi wao majina ya Julius, Maria na Samia kwa heshima za viongozi wetu pamoja na kumuenzi Hayati Baba wa Taifa Mwl.  Julius K. Nyerere, mke wa Baba wa Taifa, Mheshimiwa Mama Maria Nyerere na Makamu wa Rais Mheshimiwa Mama Samia S. Hassan.

Ikumbukwe, Hospitali hii (Mwalimu Nyerere Memorial Regional Referral Hospital) ni moja kati ya Hospitali za Rufaa za Mikoa 10 zinazojengwa na Serikali kupitia Wizara ya Afya ambayo ujenzi wake ulikwama tangu miaka ya 1970 na sasa imeanza kutoa huduma kwa maeneo ambayo yamekamilika yaliyochagizwa na usimamizi madhubuti na ziara za mara kwa mara za ukaguzi wa maendeleo ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya kutolea huduma zinazofanywa na viongozi, Waziri, Katibu Mkuu, Mganga Mkuu wa Serikali na Menejimenti ya Wizara kwa ushirikiano wa karibu na Ofisi ya Rais -Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI).

Mwonekano wa nje wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mara (Kwangwa).

Tazama taarifa iliyotolewa siku za nyuma




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.