• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Idadi ya wagonjwa wa Corona yaongezeka Tanzania

Imewekwa tarehe: March 18th, 2020

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa taarifa ya ongezeko la wagonjwa wawili wa ugonjwa wa Corona nchini mmoja akiwa ni raia wa Marekani na mwingine ni raia wa Ujerumani na kufanya jumla ya wagonjwa kufikia watatu kutoka mmoja wa awali aliyegunduliwa ambaye ni raia wa Tanzania .

Akizungumza na vyombo vya habari Jijini Dar es  Salaam leo Machi18.2020, Waziri Mkuu amesema wagonjwa hao walioongezeka ni kutoka Dar es Salaan na Zanzibar baada ya sampuli zao kupimwa na kubainika kuwa wana maambukizi ya Virusi vya Corona.

“Tayari wagonjwa wawili  wamebainika kuwa na virusi hivyo mgonjwa mmoja kutoka Zanzibar ambaye sampuli zake zimeletwa katika maabara yetu kuu yeye ni mjerumani wa miaka 24 amebainika na virusi hivyo, lakini pia hapa Dar es  Salaam kuna mmarekani mwenye miaka 61 naye pia amebainika kuwa na virusi vya Corona “ amesema Waziri Mkuu.

Waziri Mkuu pia ametangaza kufungwa kwa Vyuo Vikuu na Vyuo vya kati nchini kwa muda wa siku 30 ili kukabiliana na kuenea kwa ugonjwa wa corona na amemuagiza Waziri wa elimu, kufanya mabadiliko ya mihula ili kutokuleta mkanganyiko kwa wanafunzi  hao.

"...sasa leo tunaendelea kuviongeza vyuo vya elimu ya kati na vyuo vikuu vyote nchini, navyo pia tunasitisha kuendelea na masomo, tunatambua vyuo vikuu wanafunzi wengi wako likizo, na sasa tunawataka wasirudi kwenye vyuo vyao na wale wachache waliokuwa wamebaki kwa mitihani nao waondoke mara moja kwenye vyuo hivyo ili kuondoa misongamano kwenye maeneo hayo ya vyuo"; amesema Majaliwa.

Hata hivyo ameasa kuwa, “Tusiwe na taharuki ili tuendelee na shughuli zetu, hatua zitaendelea kuchukuliwa, tupunguze mikusanyiko, maduka na masoko shughuli zitaendelea, huduma za usafirishaji zitaendelea ila abiria wasijazwe, tunawahifadhi wagonjwa tatizo likiisha tutawatoa, Majaliwa ameongeza kuwa;

“Bado tunaendelea kuwa makini kwenye mipaka yetu, tunaendelea kuwa makini kwenye kukagua uingiaji wa wageni ili kujiridhisha kama wote wanaoingia nchini hawana maambukizi,” amesema Majaliwa



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.