• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Idaya ya Afya wakutana kutathimini utendaji kazi

Imewekwa tarehe: November 26th, 2020

MGANGA Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Dkt. Gatete Mahava amekutana na viongozi wa Zahanati na vituo vya Afya kujadiliana utekelezaji wa shughuli mbalimbali zinazotolewa katika Jiji la Dodoma.

Akizungumza na wataalamu hao leo Novemba 25, 2020 katika ukumbi wa Jiji Dkt. Mahava amesema moja ya mambo ambayo wamejadiliana ni kuona kwa namna gani utekelezaji wa bajeti ya robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2020/2021 umefanywa.

“Kila kituo kilikuwa na bajeti yake kama mnavyo fahamu serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sasa hivi inapelekea fedha moja kwa moja kwenye vituo, na zile fedha zinazokwenda kule ni kulingana na bajeti zilizotengwa na kile kituo lazima sasa kama timu ya CHMT kuhakikisha kwamba tunafuatilia utekelezaji wa bajeti hizo’’

Kwa upande wake Sittu Muhunzi Muuguzii Mkuu Jiji la Dodoma amesema lengo kubwa ilikuwa ni kuongea na viongozi wa vituo vya afya ambao wanatoa huduma katika jiji la Dodoma ili kuona wametekeleza vipi majukumu yao ya kila siku.

“Tunataka kuona makusanyo ya vituo, yamekusanywa kiasi gani kulinga na malengo yao waliyokuwa wamejiwekea ndio leo tunajadili na wao watawasilisha mawasilisho ni kiasi gani wamefikia’’ alisema Sittu

Naye Maganga Mfawidhi wa kituo cha Chikande Ngaweji Nkinga amesema tayari wamepitia mwenendo wa wa utekelezaji wa bajeti na makusanyo ya vituo mbalimbali ambapo wamesisitizwa ili vituo vyao viweze kujiendesha ni lazima wawe na mpangilio mzuri wa ukusanyaji mapato.

“Tayari tumeshapitia mwenendo wa utekelezaji wa bajeti na kiongozi wetu ametusisitiza kwamba ili vituo viweze kujiendesha ni lazima kuwa na mpango mzuri wa ukusanyaji wa mapato na kama kuna mtu anachangamoto yeyote ile anatakuwa kuwasiliana na mganga mkuu wa jiji ambaye yuko kwa niaba ya mwajiri’’ Nkinga

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.