• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

ILO yaipongeza Tanzania kwa Miradi ya Kimkakati

Imewekwa tarehe: September 8th, 2020

SHIRIKA la Kazi Duniani (ILO) limeipongeza Serikali ya Tanzania kwa kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ya miundombinu ili kuwezesha shughuli za maendeleo ya kiuchumi na kijamii.

ILO limesema kutokana na ufanisi huo, lipo tayari kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kuhakikisha miradi hiyo inafanikiwa na kwamba, linaamini miradi hiyo mikubwa itasaidia kuongeza ajira kwa wananchi.

Mratibu wa Programu ya Kitaifa ya ILO, Mpango wa Uwekezaji wa Kina Jamii na Uajiri (EIIP), Dampu Ndenzaro, alisema hali hiyo itasaidia pia kuwapa nafuu hata watu walio pembezoni kutokana na msimamo wa serikali wa kutaka miradi hiyo kutekelezwa na wafanyakazi wazawa kwa kutumia malighafi za ndani.

Alikuwa akizungumza wakati wa kufunga mafunzo ya teknolojia ya ujenzi yaliyofanyika Chamwino mkoani Dodoma aliposisitiza kuwa, ILO linafurahishwa na mikakati ya serikali.

Mafunzo hayo ya Agosti 17 hadi Septemba 4, 2020 yaliendeshwa na Taasisi ya Mafunzo ya Teknolojia (ATTI) yenye makao makuu Mbeya kwa ufadhili wa ILO yakikutanisha washiriki 20 wakiwemo wa ATTI yenyewe, TARURA, TANROADS, TASAF na Zanzibar.

Washiriki wengine walitoka Bodi ya Mfuko wa Barabara, Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa, Taasisi ya Mafunzo ya Ujenzi ya Morogoro, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na wenye Ulemavu pamoja na wakandarasi wanne wa kazi kutoka Lindi, Mbeya, Rukwa na Dodoma.

Miongoni mwa miradi iliyoifurahisha ILO ni ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, ujenzi reli ya kisasa (SGR) na mradi wa umeme kwenye Bwawa la Julius Nyerere.

Akizungumzia mafunzo hayo, Ndenzaro alisema yalilenga kujifunza teknolojia mpya na kuonesha utumiaji wa teknolojia zinazowezekana kwa shughuli ukiwemo ujenzi wa barabara.

Alisema, wakati wa kuongoza mafunzo hayo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi, Uchukuzi na Mawasiliano, Elius Mwakalinga, aliishukuru ILO, kwa kuwa tayari kushirikiana na serikali kutoa mafunzo kwa manufaa ya taifa.

Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Teknolojia (ATTI), Mahmoud Chamle, alisema lengo la mafunzo hayo ni kuhimiza matumizi ya teknolojia ya gharama nafuu katika miradi.


Source: HabariLeo

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.