• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jamii yatakiwa kutowanyanyapaa wenye Fistula

Imewekwa tarehe: May 26th, 2024

JAMII imetakiwa kutowanyanyapaa wenye ugonjwa Fistula kwani tatizo hilo la kiafya linatibika na huduma ni bila malipo.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia na watu wenye Ulemavu, Dkt. Dorothy Gwajima wakati akizungumza na wananchi katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Fistula, Mei 23 ambayo kitaifa yamefanyika mkoani Arusha.

Waziri Dkt. Gwajima amesema, kutokana na takwimu za Shirika la Afya Duniani (WHO), nchini Tanzania takribani wanawake 1500-3000 hupata fistula kutokana na matatizo ya uzazi na wanaojitokeza kupata matibabu ni nusu yao tu kwani wengine hujificha kwa kuona aibu na jamii kuwanyanyapaa au kutokuwa na taarifa sahihi kuhusu huduma.

Waziri Dkt. Gwajima amesema Fistula ni mojawapo ya magonjwa yanayomuondolea mwanamke staha na kumpotezea fursa za kushiriki shughuli za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiroho. Kwa ujumla fistula humtenga mwanamke na maisha ya mwanadamu wa kawaida.


"Matibabu ya fistula ya uzazi nchini mwetu yanatolewa pasipo malipo.

Niwaombe akina baba kuungana katika vita hii ya kutokomeza fistula kwa kuwahamasisha akina mama wenye fistula mnaoishi nao kufika kwenye hospitali ambazo zinatoa matibabu haya bure" amesema Waziri. Gwajima.

Amewahimiza akinamama wajawazito pamoja na wenzi wao kuanza kliniki mapema ili wataalamu wapate muda wa kutambua changamoto na kuchukua hatua kwa wakati.

Amebainisha kuwa, ikiwa imesalia miaka sita ili kufikia azimio la pamoja la nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa la kutokomeza Fistula ifikapo 2030, Tanzania inaendelea kuongeza jitihada na kusisitiza umuhimu wa wajawazito kuanza kuhudhuria kliniki mapema hasa mimba ikiwa na umri chini ya wiki 12, lakini pia kuhakikisha mjamzito anahudhuria angalau mara nne mpaka anafikia kipindi cha kujifungua.

Aidha, amesema miongoni mwa athari kuu za ugonjwa wa Fistula ni kupoteza uwezo wa kudhibiti haja ndogo na kubwa au vyote kwa pamoja bila kuhisi hali inayowafanya baadhi yao kuachwa na waume zao, kunyanyapaliwa pia kutoshiriki shughuli za maendeleo walio wengi hupoteza watoto wao.

Ameongeza kuwa Serikali imewekeza katika Sekta ya Afya kwa kujenga miundombinu pamoja na vifaa vya kutolea huduma za afya.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.