• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jenerali Mabele azindua mitambo ya kuzalisha zege jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: May 24th, 2023

MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa, Meja Jenerali Rajabu Nduku Mabele, amezindua Mitambo ya kuzalisha zege ‘Concrete Bunching Plants, Concrete Truck Mixer  pamoja na Concrete pump, itakayotumiwa na SUMAJKT Construction Company Limited’ eneo la Mwangaza Jijini Dodoma.

Akitoa hotuba wakati wa Uzinduzi, Mkuu wa JKT ambae pia ndie Afisa Mtendaji Mkuu wa SUMAJKT, ameipongeza Menejimenti ya Shirika pamoja na Uongozi wote wa SUMAJKT Construction Company Limited, kwa uamuzi wa kununua mitambo hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa itarahisisha utendaji kazi pamoja na kuongeza tija.

Aidha, Meja Jenerali Mabele, aliishukuru Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais na Amiri Jeshi Mkuu, kwa kuendelea kuiamini JKT kwa kuipatia miradi mbalimbali ya Serikali.

Akihitimisha Hotuba yake, Mkuu wa JKT, aliwataka watendaji wote watakaokabidhiwa kuendesha Mitambo hiyo, kuitunza na matengengenezo (service) yake iwe inafanyika kwa wakati ili ilete tija inayokusudiwa.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa Bodi ya SUMAJKT, Meja Jenerali Farah Mohamed (Mstaafu), amepongeza ununuzi wa Mitambo hiyo mipya na ya kisasa kwamba itaongeza thamani katika Shirika kwa kuwa na ubora wa bidhaa zitakazo zalishwa, urahisi wa upatikanaji wake, gharama za uzalishaji zitapungua na pia muda wa uzalishaji utapungua kuliko ilivyokuwa hapo awali.

Naye Mkurugenzi wa SUMAJKT, Kanali Petro Ngata, amewapongeza watendaji wote kwa ushirikiano ili kuhakikisha Shirika linafikia malengo ya ukuaji, kuongeza mapato na kujenga uwezo wa Shirika kuendelea kuwekeza katika miradi mipya na vitendea kazi.

Akielezea matumizi ya Mitambo hiyo, Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kampuni ya Ujenzi ya SUMAJKT CONSTRUCTION COMPANY LIMITED, Injinia Morgan Nyoni, amesema baada ya kupokea Mitambo hiyo, tayari usimikwaji umekamilika na uwepo wake utaongeza kipato kwa Kampuni ya Ujenzi na Shirika kwa ujumla kwa kuwa hitajio la zege Jijini Dodoma ni kubwa na itaongeza imani kiutendaji kutoka kwa washitiri.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.