• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jengo la utawala, madarasa ya ghorofa yakarabatiwa Msalato Sekondari

Imewekwa tarehe: July 16th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepongeza ukarabati wa jengo la utawala na maghorofa mawili ya madarasa katika shule ya sekondari Msalato na kusema kuwa thamani ya fedha inaonekana.

Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Mipango Miji na Mazingira, Jaffar Mwanyemba alipoongoza Kamati ya Fedha na Utawala (Kundi la Kwanza) kutembelea na kukagua ukarabati wa jengo la utawala na majengo mawili ya ghorofa yenye vyumba tisa vya madarasa shule ya sekondari Msalato mwishoni mwa wiki.

Mwanyemba aliipongeza Kamati ya Ujenzi ya shule na uongozi wa shule kwa kazi nzuri na kusema matumizi ya fedha ni mazuri. Aidha, mkuu wa shule alishauriwa kuomba fedha nyingine kwa ajili ya ukarabati wa majengo mengine ambayo hayafanyiwa ukarabati kwa muda mrefu.

Akisoma taarifa fupi ya ukarabati wa jengo la utawala na majengo mengine mawili ya ghorofa yenye vyumba tisa vya madarasa kwa Kamati ya Fedha na Utawala, Mkuu wa shule ya sekondari Msalato, Mwalimu Neema Maro alisema kuwa shule yake ilipokea shilingi 120,992,215 kwa ajili ya ukarabati wa jengo la utawala na majengo mawili ya ghorofa yenye vyumba tisa vya madarasa kutoka kwa udhamini wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Mkataba wa ukarabati ulisainiwa kati ya TEA na Mkurugenzi wa Jiji, aliongeza.

Alisema kuwa gharama yote ya mradi ni shilingi 120,992,215, kati ya fedha hizo zimetumika shilingi 120,832,366.14 na kubaki shilingi 159,848.86 kwenye akaunti.

Kuhusu maendeleo ya mradi, Mwalimu Maro alisema kuwa majengo yalitengewa muda wa miezi miwili kwa kila jengo kukamilika. “Hivyo, jengo la utawala lilianza kukarabatiwa mwezi Aprili na kukamilika mwezi Juni. Vyumba tisa vya madarasa ukarabati ulianza mwezi Juni, 2022. Ukarabati wa jengo la utawala pamoja na vyumba vinne vya madarasa (Cookery Block) umekamilika kwa asilimia 100 na majengo yameanza kutumika. Jengo la mwisho (Block 2) nalo lipo katika hatua ya mwisho ya kukamilika kwa sababu mafundi hivi sasa wanamalizia vitu vidogo. Changamoto iliyojitokeza ni ukarabati wa majengo yote haukuweza kuanza kwa pamoja kwa sababu ya uhaba wa vyumba vya madarasa na hivyo, kupelekea kila jengo kukarabatiwa kwa muda wake” alisema Mwalimu Maro.

Jengo la utawala lililokarabatiwa shuleni Msalato.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.