• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Dodoma Jiji yapima viwanja zaidi ya 800,000 ndani ya miezi 30

Imewekwa tarehe: October 20th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepima viwanja zaidi ya 800,000 katika kipindi cha miezi 30 ikiwa ni mkakati wa kuhakikisha jiji linapimwa na wananchi kuishi katika maeneo yaliyopimwa na kupangwa kitaalam.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Joseph Mafuru alipokuwa akifafanua hoja katika kikao baina ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na watumishi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF jijini hapa.

Mkurugenzi Mafuru alisema “Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu (CDA) iliyofanya kazi kwa miaka 43 ilifanikiwa kupima na kumilikisha viwanja 69,000. Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kipindi cha miaka miwili na nusu imefanikiwa kuzalisha viwanja zaidi ya 800,000. Haya ni mafanikio makubwa katika sekta ya ardhi. Baada ya viwanja vingi kuwa vimepimwa na kumilikishwa kwa wananchi, changamoto kubwa iliyopo ni jinsi ya kufika katika viwanja hivyo. Katika kutatua changamoto hiyo, tumeagiza mitambo mipya kwa ajili ya kufungua barabara. Tuna mitambo yetu minne japo inachechemea lakini inaendelea kufanya zoezi la kufungua barabara”.

Aidha, alisema kuwa halmashauri yake imeagiza vifaa vya upimaji seti nne mpya kwa ajili ya kazi ya upimaji ardhi. “Lengo la kuagiza vifaa hivyo ni kuwatumia wataalam wetu wa upimaji ili wafanye kazi kwa ufanisi, muda mfupi na kwa gharama nafuu. Utumishi wa umma ni kutumikia watu, siwezi sema ‘I am very busy’ hapana” alisema Mkurugenzi Mafuru.

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma amepanga kufanya vikao na halmashauri zote nane za Mkoa wa Dodoma kuongea na watumishi ili kuweka dira ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya mkoa huo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.