• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji Dodoma lavunja rekodi upimaji viwanja

Imewekwa tarehe: August 11th, 2020

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepima zaidi ya viwanja 200,000 katika kipindi cha miaka miwili na miezi nane tofauti na viwanja 69,000 vilivyopimwa na iliyokuwa Mamlaka ya Ushawishaji Makao Makuu (CDA) kwa kipindi cha miaka 43.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alipokuwa akitoa maelezo ya utendaji kazi wa Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma katika ukumbi wa mikutano wa jiji hilo leo.

Kunambi amesema “katika sekta ya ardhi tupo mbali, katika kipindi cha miaka miwili na miezi nane Halmashauri ya Jiji imepima viwanja zaidi ya 200,000. Viwanja 135,000 wananchi wamekabidhiwa barua za kupata viwanja hivyo. Haya ni mafanikio makubwa ikilinganishwa na CDA iliyopima viwanja 69,000 katika kipindi cha miaka 43”. Alisema kuwa kati ya viwanja vilivyopimwa na CDA, viwanja 12,000 zilitolewa barua za kupewa viwanja hivyo wakati hati zilizotolewa ni 25,000. “Viwanja zaidi ya 8,000 vilikabidhiwa kwa wananchi bila kukamilika hatua za upimaji wake” ameongeza Kunambi.

Akiongelea upimaji katika Halmashauri ya Jiji hilo, Kunambi amesema kuwa kila eneo katika Jiji la Dodoma limepimwa. “Mgeni yeyote anayenunua ardhi bila kufuata utaratibu, afahamu kuwa anaibiwa kwa sababu ananunua eneo lililopangwa tayari. Lazina anayetaka kununua ardhi eneo la Jiji la Dodoma afanye mawasiliano na Halmashauri ambayo ndiyo mamlaka ya upangaji mji” amesema Mkurugenzi Kunambi.

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma amefanya ziara ya kawaida katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kujitambulisha pamoja na kuongea na timu ya Menejimenti ya Halmashauri.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi akitoa taarifa fupi kuhusu utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika Jiji la Dodoma mbele ya mkuu mpya wa Wilaya ya Dodoma Mjini Mhe. Josephat Maganga na timu yake pamoja na timu ya manejimenti ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma (CMT) leo 11 Agosti 2020 katika ukumbi mdogo Makao makuu ya Ofisi za Jiji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.